Kwanini tumekubali kurudi kwenye siasa za chuki? Mbona wananchi wanaishi kwa amani? Viongozi wana hofu gani?

Kwanini tumekubali kurudi kwenye siasa za chuki? Mbona wananchi wanaishi kwa amani? Viongozi wana hofu gani?

Sawa ila Polisi wamenifurahisha Kwa kuwashikisha adabu,Sasa hivi wanaimba wimbo mmja hii hapa
Haitakusaidia chochote sisi tunataka tuwaachie Watoto wetu na Wajukuu Nchi ya Kidemokrasia na yenye kujali HAKI za BINADAMU.
 
Kutaka kuitisha maandamano ya vurugu Kwa nini? Polisi shikilieni hapo hapo Kwa sababu Chadema wamechoka na uhuru
Kwahiyo mtu akikamatwa uwanja wa ndege kafanya vurugu? Unamfungulia kesi gani? Si usubiri afanye vurugu ndipo umshtaki kwamba kafanya vurug? Yule aliyetamka kupoteza watu kule Kagera alishafunguliwa mashtaka? Aliyetangaza kwamba kura zina matokeo matatu alishaitwa kuhojiwa? Watu wa leo siyo wa mwaka 47.
 
Kwahiyo mtu akikamatwa uwanja wa ndege kafanya vurugu? Unamfungulia kesi gani? Si usubiri afanye vurugu ndipo umshtaki kwamba kafanya vurug? Yule aliyetamka kupoteza watu kule Kagera alishafunguliwa mashtaka? Aliyetangaza kwamba kura zina matokeo matatu alishaitwa kuhojiwa? Watu wa leo siyo wa mwaka 47.
Usijitoe ufahamu,alikuwa anaenda kuhamasisha nini? Polisi si iliwazuia wakasema wataenda Ili wakamatwe pamoja au?

Ndio wamekamatwa Tulieni Sasa.Mkaidi ......
 
Maovu ya viongozi ni mengi. Hivyo hawana amani!
Hakuna mwananchi anayeona kuna tishio au hali isiyo ya kawaida kwenye siasa. Ila viongozi wa kisiasa ni kama wamepaniki.

Pamoja na mikutano yote waliyofanya bado nafsini mwao wanaamini wananchi wana njaa na wakiruhusiwa kuonyesha njaa zao kura zitapungua.

Je makatazo haya hayapelekei kuathiri uchumi mpana wa nchi? Je, wanaonufaika na huu mvurugano wanania njema au wanalenga lao lakuwatisha watawala ili wao waendelee kupewa respects?

Tukumbuke hapa ndipo uzaliwa bajeti kubwa ya ulinzi wa RAIA na ununuzi wa magari ya washawasha......let us think twice
 
Kutaka kuitisha maandamano ya vurugu Kwa nini? Polisi shikilieni hapo hapo Kwa sababu Chadema wamechoka na uhuru
Cdm hawana sababu ya kuwa makondoo. Makondoo wabaki mazombie wasiojitambua.
 
Usijitoe ufahamu,alikuwa anaenda kuhamasisha nini? Polisi si iliwazuia wakasema wataenda Ili wakamatwe pamoja au?

Ndio wamekamatwa Tulieni Sasa.Mkaidi ......
Polisi wanazuia haki za wananchi zilizoko kikatiba wao kama nani?
 
Polisi wanazuia haki za wananchi zilizoko kikatiba wao kama nani?
Haki za kutaka kuleta vurugu lazima zizuiliwe.

Pili raia wanaendelea na mishe zao ndio maana hawajihusishi na nyie wahuni
 
Haki za kutaka kuleta vurugu lazima zizuiliwe.

Pili raia wanaendelea na mishe zao ndio maana hawajihusishi na nyie wahuni
Kwani shughuli zote zinazofanywa na wengine wananchi wote huwa wanajihusisha nazo? Kuleta vurugu kwa tafsiri ya kiccm. Hizo siasa za kujinyenyekeza bakini nazo nyie mnaotegemea hisani za majizi ya kura.
 
Hakuna mwananchi anayeona kuna tishio au hali isiyo ya kawaida kwenye siasa. Ila viongozi wa kisiasa ni kama wamepaniki.

Pamoja na mikutano yote waliyofanya bado nafsini mwao wanaamini wananchi wana njaa na wakiruhusiwa kuonyesha njaa zao kura zitapungua.

Je makatazo haya hayapelekei kuathiri uchumi mpana wa nchi? Je, wanaonufaika na huu mvurugano wanania njema au wanalenga lao lakuwatisha watawala ili wao waendelee kupewa respects?

Tukumbuke hapa ndipo uzaliwa bajeti kubwa ya ulinzi wa RAIA na ununuzi wa magari ya washawasha......let us think twice
Kwani na Zanzibar mikutano imezuiliwa? maza anaharibu amani ya bara sababu siyo kwao
 
Back
Top Bottom