Dr criminal
JF-Expert Member
- May 16, 2022
- 2,282
- 4,316
- Thread starter
- #61
Iko hivo mkuu [emoji1666]Uke ni sperm dump hauna maana yoyote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iko hivo mkuu [emoji1666]Uke ni sperm dump hauna maana yoyote.
Nimekusoma mkuu[emoji1666]Bro hii ni natural hatuwezi kukwepa sisi wanaume kati ya tamaa na upendo yaan upendo ni 30% lakin tamaa ni 70% ...... na kwa kawaida tuuh ukimtongoza dem lazima cha kwanza umtamani ku sex nae swala la upendo linafuata ndo maana noa wanaringa na izo nyapu zao
........ napita tu @ unknown phylospher
Kwa wengine ukibaniwa baniwa ukaihangaikia kidogo kisha ukapewa inaongeza utamu na unaishughulikia haswa. Vitu virahisi rahisi vya free huwa si vitamu.Sijataka tuwa-replace Wanawake, nimetaka tujinasue kwenye hiyo psychological trick yao
Nakubali asee!!! [emoji3]Dr criminal dawa ya njaa ni kula Mkuu ndio nature inavyotaka, si unaona jogoo zinakimbiza mitetea hadi juu ya mabati kisa kamkojo tu ka sekunde.
Mbwa anaweza akatorokahome hata mwezi kisa ni mbususu aliyoifuata mtaa wa nne huko akirudi ni mchafuu na kakondeana, hiyo yoteni mbususu tu ilikuwa inatafutwa.
Ukifanikiwa kuzikwepa mbususu umemkwepa shetani kwa 60%
Uzi ufungwe jibu tunalo tayariSijasoma uzi wote ila huwezi pingana na NATURE. Ipo hivyo
Lipia tangazoUnashangaa kuna mwanamke anakufata yani then anakwambia anahitaji kuzaa na wewe daah huwa inanifikirisha sana sometime.
Kama jogoo anavyohangaika kumgonga kuku jike.Sio binadamu angalia viumbe vyote vyenye jinsia ya kiume vinavyohangaikia mbususu
Mbususu for life
Watakuja wazee tu ila sio hawa ma slay queen na walivyo na njaa ndio kabisa.Huu uzi unaweza kuuchukulia poa ila umejaa maudhui makubwa sana.
Hiv ME wenzangu hebu tufanye jaribio la kuanzisha sehemu abayo mwanamke mwenye genye anakuja analipa anapelekewa moto. Sio tunawayafuta wao tu.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Aseme mwenyewe mara ngapi? Acha ujunga kula mbususu hiyo.Leo kuna manzi ni workmate imeanza kunitext tangu asubuhi na viemoji vingi vingi whatsapp. Jioni hii amefunguka anataka aje apajue kwangu (hua naileteaga ukauzi sana kazini namba yenyewe kadukua kwenye group la watumishi ambalo tuko pamoja). Ni pisi ya haja na najua anachotaka ila namkazia mpaka aseme mwenyewe!
Sure thing mkuuDr criminal dawa ya njaa ni kula Mkuu ndio nature inavyotaka, si unaona jogoo zinakimbiza mitetea hadi juu ya mabati kisa kamkojo tu ka sekunde.
Mbwa anaweza akatorokahome hata mwezi kisa ni mbususu aliyoifuata mtaa wa nne huko akirudi ni mchafuu na kakondeana, hiyo yoteni mbususu tu ilikuwa inatafutwa.
Ukifanikiwa kuzikwepa mbususu umemkwepa shetani kwa 60%
Kabisa mkuuHii mada ni nzuri sana. Ni kweli wanaume wengi wanajirahisisha kwa wanawake na kutumia nguvu nyingi (fedha +muda) kuwapata.
Ili kutoka kwenye huu utumwa unatakiwa ujitambue. Jua thamani yako..tongoza strategically...siyo kwa pupa. Usiwe kwenye uhusiano wenye masharti....