Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo tumeruhusu wanaume kuonyesha hisia zao waziwazi, mwanaume inabidi kukaza. Ila siku hizi unakuta lijamaa eti linalilia mbususu 🤬Kuna mazezeta wachache ndo wamepekelekea wanaume tunateseka
Hata ujiangalia movie wanatuonyesha Kwamba mwanamke ni mtu wakunyenyekewa
hapana, inaua HIV siyo nyetoItakuua mkuuu[emoji23]
Sure thing mkuuUmesema kweli.
Wanawake wanapenda Ngono, unajua kupenda Ngono?? Wanapenda Ngono kuliko kiumbe chochote kile hapa Dunian.
Sema hawapendi kuonekana Malaya
[emoji1666][emoji1666]kuna mambo ni zaidi ya uwelewa wa kawaida ndugu yangu, vitu vinavyousu watu huwa vinabadilishwa na mfumo tu. sisi acha tujifikirishe Tu. na tena tunafikiri katika mawazo huru ya kidemocrasia. asante dunia, asante Tanzania. Shukrani nyingi Kwa m
Mungu Mkuu aliejuu. Hakika naona utofauti wangu na
Namwagilia kabisa
Mkuu wa kanda ya ziwa wana nini?Wanaume wa kanda ya ziwa ndio wanasababisha tuonekane wa ajabu ila sisi wa pwani ndio kiboko yao.
Hahahaaaa. Jaribio mkuu najua itakuwa kituko mtaani.[emoji23] hio haiwezi kutokea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watakuja wazee tu ila sio hawa ma slay queen na walivyo na njaa ndio kabisa.
Too sadCHUO KIKUU USHIRIKA , KUNA DOGO KAJIUA KISA DEMU ,,,,,,