XaviMessIniesta
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 2,231
- 2,778
Wakati wa ukoloni na utumwa, hawa watu walitupatia elimu mbovu, walitupatia malazi na mavazi mabaya, walitupatia chakula kibovu, walituibia malighafi nyingi kwa udanganyifu
Bila kusahau madhila mengi waliyotufanyia kama vile watumwa wa kiume kuhasiwa na wengine kuuwawa kwa kutupwa porini na baharini.
Sasa swali linakuja, Je, kwa nini tunaamini walitupatia Dini nzuri? Kwamba mengine yote tunaona na tunakubaliana kuwa walitufanyia mabaya na ya kikatili, halaf Dini pekee ndio kitu pekee kizuri waliyotufanyia?
"During slavery and colonial, they didn't give us good education, good housing, good clothes or good food, what makes you think that they gave us GOOD RELIGION?
Bila kusahau madhila mengi waliyotufanyia kama vile watumwa wa kiume kuhasiwa na wengine kuuwawa kwa kutupwa porini na baharini.
Sasa swali linakuja, Je, kwa nini tunaamini walitupatia Dini nzuri? Kwamba mengine yote tunaona na tunakubaliana kuwa walitufanyia mabaya na ya kikatili, halaf Dini pekee ndio kitu pekee kizuri waliyotufanyia?
"During slavery and colonial, they didn't give us good education, good housing, good clothes or good food, what makes you think that they gave us GOOD RELIGION?