Kwanini tunaamini dini tulizoletewa na Wazungu na waarabu ni njema?

Kwanini tunaamini dini tulizoletewa na Wazungu na waarabu ni njema?

Wanaozuia mvua, wanaoua kwa radi, wanaopaa kwa ungo n.k wanaabudu miungu, miungu IPO na Mungu yupo. Chagua pa kuamini.
 
Baada ya kudanganywa kuna moto wa milele baada ya kifo kama hutaamini. Tulidanganyika, mimi sidanganyiki, naamini ninachokiamini tangu zama za mababu
Hukumu ya watenda dhambi inaanzia hapa hapa duniani kabla hujafika ahera.Kama unabisha jaribu kubaka uone..
 
Kila mtu mwenye akili timamu na mwenye uwezo wa kung'amua na kuhoji ni haki yake kuhoji.

Dini zimeletwa na wageni ndio, ILA nasi tuna nafasi ya kuzitest zile dini kujua kama kweli zina manufaa au la!

Mfano unakata mti unachonga kinyago unakiabudu, kazi ya mikono unaipa uungu....mungu wako asogei wala hasemi na jinsi muda unavyokwenda anapekechwa na wadudu na hawezi kuwazuia wadudu wasimpekeche....ukiwa na dini na mungu wa namna hiyo anza kujihoji wewe mwenyewe.

Ila ukiwa na Mungu anayekujibu kwa njia kibao, anayekuwazia mema, anayeondoa shaka, teso na tabu...ambaye neno lake halipiti bure na jipya kila leo ingawa ni lile lile ...basi mkumbatie na umshike yeye kikamilifu.
 
Tupe kwanza tafsiri ya neno DINI ndio tuamini ni jambo zuri...!

Mbona Mchina, Muhindi, Mkorea n.k
awaabudu dini uliyoletewa na Mkoloni na maisha yanaendelea..?
Hao dini zao zilitangulia kabla ya Ukristo na uislamu na wakazishika dini zao, huwezi kuwabadirisha.
 
Mzee 74 , uliambiwa na mmisonary kwamba kuna ahera wewe kwa kutumia common sense kuna ahera kweli? Ni Mungu gani anaandaa moto wa kuchoma watoto wake? Labda huyu anaeabudiwa kwa kutumia vinyago. Kila mtu na imani yake kumfikia muumba wake
True
 
Dini za mzungu na mwarabu ilikuwa mbinu ya kumpata mwafrika, kumrubuni na kumfanya awe chini yake. Katika hilo hawa jamaa wamefanikiwa kwa asilimia zote.

Hili limefanya hata uwezo wa mwafrika kuchanganua mambo ukawa mdogo (i'm not sure zamani walikuwa na uwezo kiasi gani lakini hakika uwezo wetu umeshuka sana). Nenda makanisani utaona jinsi akili zetu zilivyokamatwa.

Hata hivyo, the existence of God we're worshipping is fictional, if he existed at all, the world wouldn't be such a terrible place, people wouldn't be suffering, death wouldn't be, famine, diseases etc.
 
Ndio maana ni kauliza kwanini sie tumezing'ang'ania hizi madhehebu ya wazungu na waarabu?
Kwa sababu hata wao waliletewa hizo dini,kabla ya hapo nao walikuwa na imani zao mbalimbali kama tulizokuwa nazo sie na ambazo zengine bado zipo.

Haya ni masuala ya imani kwa hivyo ni maamuzi yako wewe kuamua kuamini kipi kwa sababu zako mwenye na hakuna wa kukuzuia.
 
Baada ya kudanganywa kuna moto wa milele baada ya kifo kama hutaamini. Tulidanganyika, mimi sidanganyiki, naamini ninachokiamini tangu zama za mababu
Tatizo mie huwa najiuliza na hao mababu zetu hizo imani nao walizitoa wapi? Maana wengine wanaishia tu kusema imani za mababu zetu na hawajiulizi zaidi ya hapo,maana kama kila mtu angekuwa ameng'ang'ania imani za mababu zake basi pengine hata kusingekuwa na ukristo,uislamu wala ubuddha.
 
Dini za mzungu na mwarabu ilikuwa mbinu ya kumpata mwafrika, kumrubuni na kumfanya awe chini yake. Katika hilo hawa jamaa wamefanikiwa kwa asilimia zote.

Hili limefanya hata uwezo wa mwafrika kuchanganua mambo ukawa mdogo (i'm not sure zamani walikuwa na uwezo kiasi gani lakini hakika uwezo wetu umeshuka sana). Nenda makanisani utaona jinsi akili zetu zilivyokamatwa.

Hata hivyo, the existence of God we're worshipping is fictional, if he existed at all, the world wouldn't be such a terrible place, people wouldn't be suffering, death wouldn't be, famine, diseases etc.
mkuu umeongea mambo makubwa na ya msingi sana,kuliko yeyote hapa,naunga mkono hoja zako kwenye hili kwa 100%
 
Wakati wa ukoloni na utumwa, hawa watu walitupatia elimu mbovu, walitupatia malazi na mavazi mabaya, walitupatia chakula kibovu, walituibia malighafi nyingi kwa udanganyifu
Bila kusahau madhila mengi waliyotufanyia kama vile watumwa wa kiume kuhasiwa na wengine kuuwawa kwa kutupwa porini na baharini.

Sasa swali linakuja, Je, kwa nini tunaamini walitupatia Dini nzuri? Kwamba mengine yote tunaona na tunakubaliana kuwa walitufanyia mabaya na ya kikatili, halaf Dini pekee ndio kitu pekee kizuri waliyotufanyia?


"During slavery and colonial, they didn't give us good education, good housing, good clothes or good food, what makes you think that they gave us GOOD RELIGION?
Kama hizo dini na wao wanazo huko kwao ina maana hawakukuletea wewe kama kitu kibaya,ingekuwa hivyo basi wasingekuwa nazo pia.
 
Hukumu ya watenda dhambi inaanzia hapa hapa duniani kabla hujafika ahera.Kama unabisha jaribu kubaka uone..
Mkuu maovu(dhambi) hata bila hayo madhehebu jamii inayapinga na haiyataki, halaf mkuu mbona machafuko na mitafaruku mingi imesababishwa na hizo dini au hilo hulioni?
 
Kuna kitu cha mzungu ambacho hukiamini? Nitajie viwili....
Vitu vingi anavyotuletea mzungu huku Africa either havifai au vina madhara

1.utamaduni
2.dini
4.madawa /kemikali
5.vifaa vya kieknologia

Angalia hii pia [emoji116][emoji116][emoji116]
IMG-20180520-WA0024.jpg
IMG-20180520-WA0025.jpg
 
Vitu vingi anavyotuletea mzungu huku Africa either havifai au vina madhara

1.utamaduni
2.dini
4.madawa /kemikali
5.vifaa vya kieknologia

Angalia hii pia [emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 791204View attachment 791206
Nani kakuletea dini? Utamaduni wenu nimeacha na mmevamia Utamaduni wa magharibi, madawa/tiba is European technology, hiyo simu unayotumia ya mzungu....
 
Back
Top Bottom