Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,840
- 7,920
Jpili iliyoisha nilihudhuria sherehe ya ndoa ya kutimiza miaka44,ktk ufunguz wa sherehe waliweka clip iliyorekod wanandoa wakisimulia namna ya ndoa yao ilivyoanza na nadhan walitumia njia ya kurekod labda kwa vile walishindwa kuhadithia moja kwa moja mbele ya hadhira.
Ktk simuliz yao Mzee anadai mwaka 78 alipata ajira ya serikal na kumlazimu kutoka mkoan kuja dar kuanza maisha ya utumish,lkn baada ya kufika dar ukizingatia tayar alikua na kipato+makaz bora akaona isiwe tabu akakwanyua bint ambaye anatoka nae mkoa mmoja na kuanza nae maisha.
Baada ya miez kadhaa tangu aje Dar akatembelewa na kaka zake wawil ambao walikuja kwa lengo la kupajua anapoish kitinda mimba wao na baada ya kufika anapoish wakakaribishwa na shemej yao mtoto wa haja mtoto lain mtoto mteke kwa mujibu wa maelezo ya Kaka wa Mzee.
Baada ya salam na kukaribishana jamaa akaona isiwe tabu aanze kuwatambulisha wagen wake kwa mwenyej wao na hapo kipind cha maswal na majibu kikaanza kati ya bint na shemej zake.
Mashemej; kwa nin upo hapa?
Bibie;km alivyosema mwenzangu kwa vile mim na yy tunatoka mkoa mmoja ukizingatia tunapendana kwa dhati na umri unashabihiana tumeona bora tuanze maisha pamoja
Mashemej;nyumban kwenu wanajua km unaish na mtu?
Bibie;hawajui
Mashemej;unapata wap ujasir wa kwenda kuish kwa mwanaume ambae hajajitambulisha kwenu ukizingatia mila za kwetu unazijua vzr tu?
Bibie;[emoji17][emoji17][emoji17]
Mashemej;kwenye familia yenu kuna ambae alishawah kufanya maamuz km haya ambayo ww umeyafanya?
Bibie;[emoji17][emoji17][emoji17]
Mashemej;kijana kachukue nguo za huyu bibie aende kwake.
Majadiliano yakaisha hivyo na jamaa akaahidiwa kuwa baada ya miez kadhaa ataletewa mke.
Baada ya miez kadhaa jamaa akaambiwa kuwa msichana ameshapatikana wanafata taratibu za kifamilia ili ndoa ifanyike.Baada ya siku jamaa akapelekewa mke mpaka pale kwake na maisha yakaanza rasmi ya mke na mume.
Kwa sasa wana wajukuu 19 huku wakisubir kifo kiwatenganishe.
Najiuliza hivi sisi wa sasa tunafeli wap?
Kwanini tunachaguana wenyew tena kwa kupendana lkn ndoa zetu hazidumu???
Ktk simuliz yao Mzee anadai mwaka 78 alipata ajira ya serikal na kumlazimu kutoka mkoan kuja dar kuanza maisha ya utumish,lkn baada ya kufika dar ukizingatia tayar alikua na kipato+makaz bora akaona isiwe tabu akakwanyua bint ambaye anatoka nae mkoa mmoja na kuanza nae maisha.
Baada ya miez kadhaa tangu aje Dar akatembelewa na kaka zake wawil ambao walikuja kwa lengo la kupajua anapoish kitinda mimba wao na baada ya kufika anapoish wakakaribishwa na shemej yao mtoto wa haja mtoto lain mtoto mteke kwa mujibu wa maelezo ya Kaka wa Mzee.
Baada ya salam na kukaribishana jamaa akaona isiwe tabu aanze kuwatambulisha wagen wake kwa mwenyej wao na hapo kipind cha maswal na majibu kikaanza kati ya bint na shemej zake.
Mashemej; kwa nin upo hapa?
Bibie;km alivyosema mwenzangu kwa vile mim na yy tunatoka mkoa mmoja ukizingatia tunapendana kwa dhati na umri unashabihiana tumeona bora tuanze maisha pamoja
Mashemej;nyumban kwenu wanajua km unaish na mtu?
Bibie;hawajui
Mashemej;unapata wap ujasir wa kwenda kuish kwa mwanaume ambae hajajitambulisha kwenu ukizingatia mila za kwetu unazijua vzr tu?
Bibie;[emoji17][emoji17][emoji17]
Mashemej;kwenye familia yenu kuna ambae alishawah kufanya maamuz km haya ambayo ww umeyafanya?
Bibie;[emoji17][emoji17][emoji17]
Mashemej;kijana kachukue nguo za huyu bibie aende kwake.
Majadiliano yakaisha hivyo na jamaa akaahidiwa kuwa baada ya miez kadhaa ataletewa mke.
Baada ya miez kadhaa jamaa akaambiwa kuwa msichana ameshapatikana wanafata taratibu za kifamilia ili ndoa ifanyike.Baada ya siku jamaa akapelekewa mke mpaka pale kwake na maisha yakaanza rasmi ya mke na mume.
Kwa sasa wana wajukuu 19 huku wakisubir kifo kiwatenganishe.
Najiuliza hivi sisi wa sasa tunafeli wap?
Kwanini tunachaguana wenyew tena kwa kupendana lkn ndoa zetu hazidumu???