Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Mkisha anza tu kufuatiliana kwenye simu bas hakuna ndoa Tena hapo iyo ndio sababu kuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikwasababu mnachagua kwa kuangalia vigezo vya kimwili...
Mfano...Mzuri, kalio kubwa, Hb, anapesa, anajua mambo kitandani...
Wakati wa kuoa au kuolewa inapaswa kuomba sana, japo kuomba tunapaswa iwe sikuzote za maisha ya duniani...
Hapo Mungu atakupa mume na mke wako aliyekupangia...
Na sio mliochaguana kwa tamaa za mwili...
Mke mwema nani amjuaye...kima chake chapita majirani moyo wa mumewe humwamini...
Methali31: 10
Zamani waliolewa kwa kulazimishwa, hivyo walidumu kwa uvumilivu wa woga...Mbona ndoa za zamani nyingi zilidumu?
Au hii principal haiku apply zamani?
#YNWA
Mbona naona wazamani wanapendana sanaa?Zamani waliolewa kwa kulazimishwa, hivyo walidumu kwa uvumilivu wa woga...
Sababu ni moja tu.Jpili iliyoisha nilihudhuria sherehe ya ndoa ya kutimiza miaka44,ktk ufunguz wa sherehe waliweka clip iliyorekod wanandoa wakisimulia namna ya ndoa yao ilivyoanza na nadhan walitumia njia ya kurekod labda kwa vile walishindwa kuhadithia moja kwa moja mbele ya hadhira.
Na umalaya umesahau kuungolea inshort tu nguvu za kiuchumi mwanamke haoni sababu ya kuwa submissive so anaweza fanya lolote ambalo ana wish kufanya hata kama litamuumiza ME wake au kuhatarisha ndoa yake.Sababu ni moja tu.
Mfumo dume ulifanya wanawake wa zaman kuwa daraja la pili kwahyo walionewa snaa..
Na hawakua na option dhidi ya kuvumilia..
Huyo mzee hajaeleza yote . Aseme amecheat mara ngap.. ana watoto wa nje wangap?
Wakupewa sifa hapo ni huyo mama ndo kafanya hyo ndoa imedumu.
Karne hii huwez mfanyia mwanamke hayo.. ana elimu. Ana kaz.. ukimchefua anaenda zake..
Hii ndo sababu kuu.
Mzee Mimi naona mtu aoe mwanamke anayekupenda na siye unayempenda..maana mwanamke ukishampenda Sana utakosa sauti kwake,Ila akikupenda yeye atakua na utii na adabu kwako.Kwa experience yangu ndogo ukimuoa mty au kuolewa kisa ummpemda ndoa nyingi hazidumu sbb ziko wazi wivu na ukiangalia hawa wazee wetu wlioa kwa sbb maalum co mapenz.
Mfano mzee wang alnmbia almuoa bmkubwa kwa sbb kwao kulkua na elimu mshua wafugaji kwaio akatman apate wasomi na kafanikiwa.
Father mkubw alnmbia almuoa m/ mkubwa kwa sbb ukoo wao wlkua shupavu altk mtu wa kmsaidia kuangalia mifugo mpk xx n tajiri wa mifugo so mantik iyo inaonesha ukioa cjui nmmpenda blah blah ni disaster. Mwenye experience tofaut na hiyo share[emoji120][emoji120]
Ni kweli, huwa tunakurupuka tu.Tatizo tunaingia Kwa mihemko 🥵
Avatar Yako inanifanya nihisi wewe ni mwanajeshiNi kweli, huwa tunakurupuka tu.
Aah wapi!...picha za mitandaoni tu hizo.Avatar Yako inanifanya nihisi wewe ni mwanajeshi