Kwanini tunachukiana makazini? Yani shida inakuwa nini?

nipo online

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2022
Posts
1,039
Reaction score
2,657
From no where mtu huna time nae ananza kukuletea visa visa vya hapa na pale kuna mda unaweza pata hasira hizi kazi za kuajiriwa ni upuuzi.

Yani ukijichaganya uka react tu unaweza timuliwa kazi. Swali langu wakuu kwanini hasa hawa Wanawake wanakua ni sosi ya mashindano kazini? Na nini kifanyike kuepukana na haya mambo?
 
Mkuu tembeza fimbo ndio adabu yao lkni usisahau kinga mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…