nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
Sasa wivu wa nini wakati wote mnalipwa tu shida inakuaje?wivu tu mzee hakuna lingine...
Fanya yako,tembea
Piga Dua.
Mkuu usirahishishe ivyo kuna cnario zingine unaona mtu anakuja anga zako wakati uko mbali sanaFanya kazi muda ukifika rudi home
Ndio kinachouma unakuta mtu uko bize sana na bize zako mtu anakuletea washa washaMind your own business binadamu wa sasa ndivyo walivyo
Kukaa kimya ni zaidi ya jibuMkuu usirahishishe ivyo kuna cnario zingine unaona mtu anakuja anga zako wakati uko mbali sana
Huyo amejileta,unapita nae tuMkuu usirahishishe ivyo kuna cnario zingine unaona mtu anakuja anga zako wakati uko mbali sana
Ignore.......usiwape umuhimu wasionaumuhimu kwakoNdio kinachouma unakuta mtu uko bize sana na bize zako mtu anakuletea washa washa
Kimya kisizidi sasa,utatongolewa jicho kwa kisuKukaa kimya ni zaidi ya jibu
Hii ni dunia nzima, binadamu ni kiumbe mbinafsi tangu alipoikanyaga dunia kwa mara ya kwanza. Haya mambo ya chuki makazini yanatokea duniani kote!Ni moja ya tabia za watu weusi chuki na wivu wa kijinga.
Na hii inaweza ikawa ndo zaidi inayopelekea kuuongezewa misumariKimya kisizidi sasa,utatongolewa jicho kwa kisu
Haiwezekani mtu ukimkalia kimya anaacha kukudistabuKimya kisizidi sasa,utatongolewa jicho kwa kisu
Ila ni uboya sanaHii ni dunia nzima, binadamu ni kiumbe mbinafsi tangu alipoikanyaga dunia kwa mara ua kwanza. Haya mambo ya chuki makazini yanatokea duniani kote!
Mkuu tembeza fimbo ndio adabu yao lkni usisahau kinga mkuuFrom no where mtu huna time nae ananza kukuletea visa visa vya hapa na pale kuna mda unaweza pata hasira hizi kazi za kuajiriwa ni upuuzi.
Yani ukijichaganya uka react tu unaweza timuliwa kazi. Swali langu wakuu kwanini hasa hawa Wanawake wanakua ni sosi ya mashindano kazini? Na nini kifanyike kuepukana na haya mambo?
Hapa usipokua majini ndo unamfundisha jinsi ya kukutreat dadekWewe kaa
Haiwezekani mtu ukimkalia kimya anaacha kukudistabu