byakunu
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 583
- 1,318
mzizi wa vyote ni kumpa access ya kukuzoea au kukujua, rule of thumb.. cut off negative people, kazini watu wanaishiaga kupigana ndele kisa mambo ya kifala tu.Unaweza ukafanya hizi zote na bado kuna nzi ikakubugudhi