Kwanini tunaenzi wanasiasa peke yao?

Kwa nini? Waenziwe hao tu? Kwa nini walio nje ya CCM wasienziwe? Mikoani na mijini naona shule zina majina ya kina Mary Nagu, maghembe etc hao ni viongozi wakuu?
Hilo ndio swali ninalo uliza. Mary Nagu na Maghembe waliwahi kuwa mawaziri kwa hiyo nao ni viongozi ingawa sio wakuu.

Amandla...
 
Mkuu, umenena vyema. Nadhani ni vyema mtu jina lake kupewa sehemu moja katika mji husika., vinginevyo tutachanganyikiwa. Kwa mfano, kwa Dar akapewa sehemu nyingi atatu changanya na haipendezi pia, na sio lazima wawe wana siasa.
 
Uliza kwa nini tunaenzi wanasiasa wa CCM tu na siyo wanasiasa. Wakati kuna wanasiasa mahiri waliopigania maendeleo nchi hii na hawapo CCM... Refer Oscar kambona, babu, Mbowe Fundikira, Mapalala etc
jenga shule yako iite jina lako kama mkono secondary Rugambwa Galanous, kulikuwa na danguro linaitwa Mbowe Night Club tulilivunjilia mbali kwa kukiuka maadili
 

CCM walishafikia ukomo wa kuleta mambo mapya...
 
Mkuu, umenena vyema. Nadhani ni vyema mtu jina lake kupewa sehemu moja katika mji husika., vinginevyo tutachanganyikiwa. Kwa mfano, kwa Dar akapewa sehemu nyingi atatu changanya na haipendezi pia, na sio lazima wawe wana siasa.
vibao vya anuani za makazi mbona mna bandika majina yenu na hamna shida, au mlitaka na stand zianze kuitwa kingwendu, mzee ojwang, sugu kajenga hotel yake kwani hajaiita mbilinyi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…