Kwanini tunafunga GPS trackers kwenye Magari?

Kwanini tunafunga GPS trackers kwenye Magari?

JituMirabaMinne

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2020
Posts
3,381
Reaction score
9,744
Ukitaka kufunga GPS tracker kwenye chombo chako mathalani gari....

Weka mezani lengo la kufunga tracker kwenye gari lako.

1. Je unahitaji kufunga tracker kwa ajili ya kufatilia mizunguko ya gari lako?

2. Au unahitaji tracker ya kukupa update ya location gari lako likiibiwa?

Kuna utofauti mkubwa sana kati ya swali la kwanza na swali la pili. Hebu tuendelee utanielewa.

Watu wengi wanafunga GPS kwenye magari yao ili wayapate kiurahisi ikitokea siku yameibiwa. Lakini kwa bahati mbaya wanafunga aina za GPS ambazo zina monitor mizunguko ya gari.

Aina hii ya GPS siyo mbaya ila ina weakness moja. Hiyo GPS tracker inakuwa online full time au muda ambao gari linatembea hivyo ni rahisi kuwa detected kwa mtu mwenye vifaa vya kutambua uwepo wa trackers au wireless devices zozote.

Multi-function-Anti-spy-Detector-K18-Camera-GSM-Audio-Bug-Finder-GPS-Signal-Lens-RF-Tracker-1.jpg


Hiki ni mojawapo ya vifaa ambavyo vinaweza kutumika kutambua uwepo wa GPS tracker kwenye gari fulani.

Kwa kifaa hicho mtu anaweza kutambua GPS trackers zote ambazo zipo Online na kuzilocate kwa muda mfupi sana hata kama zipo 20.

Lakini hii haimaanishi kwamba watu wasifunge GPS trackers kwenye magari yao. Kwa sababu siyo kila anayeiba gari anaweza kuwa na uelewa mkubwa juu ya mambo ya GPS trackers. Hivyo bado kunaweza kuwa na Chances za kuipata gari yako.


Aina ya Pili ya GPS, I think hii ni nzuri zaidi. Na kama mtu anafikiria kufunga GPS zaidi ya moja kwenye gari yake basi hii GPS ndio GPS ya kuongezea.

What IF ukafunga GPS tracker ambayo inawaka inaupdate location halafu inajizima kulingana na muda uliouset wewe mwenyewe?

Kwa maana mtu akiiba gari akatrace kama kuna gps tracker kwa kutumia GPS detector hatanote kama kuna GPS tracker imefungwa kwenye gari hiyo labda tu kama atatrace muda ambao ndio tu hiyo GPS imewaka, ambapo probability ni ndogo sana.

Pia GPS tracker kama hizi za kuwaka na kuzima unaweza kuwa nazo zaidi ya moja ambapo zinawaka na kuzima kwa interval tofauti tofauti.

Inaweza kuwaka Ndani ya dakika moja tu ikawa imeshaupdate location na kujizima.

Hii imekaaje?

Mwisho



Kwa mahitaji ya GPS trackers.

Diagnosis na Repairs za matatizo ya gari lako.

Na mengine mengi. Tuwasiliane

0621 221 606

Nipo Dar.
 
Ukitaka kufunga GPS tracker kwenye chombo chako mathalani gari....


Weka mezani lengo la kufunga tracker kwenye gari lako.

1. Je unahitaji kufunga tracker kwa ajili ya kufatilia mizunguko ya gari lako?

2. Au unahitaji tracker ya kukupa update ya location gari lako likiibiwa?

Kuna utofauti mkubwa sana kati ya swali la kwanza na swali la pili. Hebu tuendelee utanielewa.


Watu wengi wanafunga GPS kwenye magari yao ili wayapate kiurahisi ikitokea siku yameibiwa. Lakini kwa bahati mbaya wanafunga aina za GPS ambazo zina monitor mizunguko ya gari.

Aina hii ya GPS siyo mbaya ila ina weakness moja. Hiyo GPS tracker inakuwa online full time au muda ambao gari linatembea hivyo ni rahisi kuwa detected kwa mtu mwenye vifaa vya kutambua uwepo wa trackers au wireless devices zozote.

View attachment 2231999

Hiki ni mojawapo ya vifaa ambavyo vinaweza kutumika kutambua uwepo wa GPS tracker kwenye gari fulani.

Kwa kifaa hicho mtu anaweza kutambua GPS trackers zote ambazo zipo Online na kuzilocate kwa muda mfupi sana hata kama zipo 20.

Lakini hii haimaanishi kwamba watu wasifunge GPS trackers kwenye magari yao. Kwa sababu siyo kila anayeiba gari anaweza kuwa na uelewa mkubwa juu ya mambo ya GPS trackers. Hivyo bado kunaweza kuwa na Chances za kuipata gari yako.


Aina ya Pili ya GPS, I think hii ni nzuri zaidi. Na kama mtu anafikiria kufunga GPS zaidi ya moja kwenye gari yake basi hii GPS ndio GPS ya kuongezea.

What IF ukafunga GPS tracker ambayo inawaka inaupdate location halafu inajizima kulingana na muda uliouset wewe mwenyewe?

Kwa maana mtu akiiba gari akatrace kama kuna gps tracker kwa kutumia GPS detector hatanote kama kuna GPS tracker imefungwa kwenye gari hiyo labda tu kama atatrace muda ambao ndio tu hiyo GPS imewaka, ambapo probability ni ndogo sana.

Pia GPS tracker kama hizi za kuwaka na kuzima unaweza kuwa nazo zaidi ya moja ambapo zinawaka na kuzima kwa interval tofauti tofauti.

Inaweza kuwaka Ndani ya dakika moja tu ikawa imeshaupdate location na kujizima.

Hii imekaaje?

Mwisho



Kwa mahitaji ya GPS trackers.

Diagnosis na Repairs za matatizo ya gari lako.

Na mengine mengi. Tuwasiliane

0621 221 606

Nipo Dar.
Hii imekaa poa sana, japo sijajua kama utahitaji ikuupdate location muda ambao hukuiset, Je? inaweza fanya hivyo? kama ni hivyo basi hizi ndo GPS zinazofaa kwaajili ya ulinzi
 
Hii imekaa poa sana, japo sijajua kama utahitaji ikuupdate location muda ambao hukuiset, Je? inaweza fanya hivyo? kama ni hivyo basi hizi ndo GPS zinazofaa kwaajili ya ulinzi

Haiwezi kukuupdate location muda ambao hukuiset.

Hii GPS inakaa OFF muda wote na itawaka tu muda ambao wewe uliiset iwake.

Muda wa GPS hiyo kuwa hewani unaanzia dakika moja na kuendelea.
 
Nataka GPS tracker ambayo unaweza iwasha mwenyewe remotely hata kama gari itakuwa mbali.

GPS ukishaizima, There is no way utakuwa na control nayo.

Unless hizo ambazo unaweza kuset timer izime na iwake muda gani.

Na muda ikiwaka unaweza kuchange timer settings.
 
Kuna jamaa hapo Mwenge anafunga Kwa 80,000/= TSH tu. Punguza tamaa
Akili za Wabongo hizi wanachoangalia ni pesa tu.

Sikiliza,

1. Sina GPS yenye SOC ya kichovu, ndio maana sina mtu niliyemfungia GPS akalalamika inamsumbua

2. Mimi siegeshi GPS, nafunga. kama kwenye pikipiki nafumua wiring ya pale katikati ndio napitisha waya zangu, kwa sababu ya udogo wa gps nayo naifungia kwenye bunch of wires. Ningekuwa naegesha ningekufungia hata kwa 50k maana ni kazi ambayo isingenichukua hata dakika 10.

3. Wakati nafunga GPS nikikata wire basi hizo waya nitaziunga kwa pini.

4. GPS ikiwa inasumbua naujua usumbufu wa wateja. Siwezi kufanya kazi ya hela ndogo halafu inigeuze mtumwa huo ni ukichaa.
 
Akili za Wabongo hizi wanachoangalia ni pesa tu.

Sikiliza,

1. Sina GPS yenye SOC ya kichovu, ndio maana sina mtu niliyemfungia GPS akalalamika inamsumbua

2. Mimi siegeshi GPS, nafunga. kama kwenye pikipiki nafumua wiring ya pale katikati ndio napitisha waya zangu, kwa sababu ya udogo wa gps nayo naifungia kwenye bunch of wires. Ningekuwa naegesha ningekufungia hata kwa 50k maana ni kazi ambayo isingenichukua hata dakika 10.

3. Wakati nafunga GPS nikikata wire basi hizo waya nitaziunga kwa pini.

4. GPS ikiwa inasumbua naujua usumbufu wa wateja. Siwezi kufanya kazi ya hela ndogo halafu inigeuze mtumwa huo ni ukichaa.
Povu la nn sasa? Nimekuambia yupo mtu toka 2012 anafunga Kwa 80,000 hazisumbui zaidi ya kubadilisha betri kila baada ya miaka 3
 
Back
Top Bottom