Kwanini tunaoa so called `Wife materials` lakini bado kwenye ndoa ni majanga?

Hahahhahaha
Wanaume kwny huu uzi bwn
Eti hamna 'wife material'🀣🀣
Ujue pepo mtaisoma kwny Quran tu na hamtaingia
 

Tatizo sisi wanaume upande mwingine et pale ukihitaji kuoa ndo unaanza kuji shape tabia na Kila kitu ili uonekane Bora kwa uliemchagua na kuficha mapungufu..'kama ulikua bahir utaacha na kumuhonga Sana,utajidai unaona mbali ktk maisha na kumpa mipango isiyoendana na kipato shida tu uonekane unamfaa..upande wake nae lazima atajiweka Kama wew na kuficha matatzo yake..kuwa "really" Kama una ka ujinqa flan muonyeshee nae awe huru akuonyeshee ili upime Kama unaweza mmudu au vp na mkiingia kwenye ndoa Basi mnakua mmekubaliana..,huwezi Seema kabadilika sema mmebadilikiana baada ya Kila mtu kufungua storage yakeπŸ˜ƒπŸ˜ƒna Kama ulimuweka wa kulA Bata kabla hujamuoa then ndani haon Tena hzo Bata zako n changamoto kiongozi!!
 
Hujambo muke ya William? Naona mumeo upara wake unazidi kuongezeka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hahahhahaha
Wanaume kwny huu uzi bwn
Eti hamna 'wife material'🀣🀣
Ujue pepo mtaisoma kwny Quran tu na hamtaingia
 
Mana formula nyingi sana muda wa kuchagua🀣
tataizo kubwa nililokuja kugndua ni kwamba wanaume tuna ufala mmoja hivi wakusema eti usioe mwanamke mrembo utagongewa hahaha. wewe chukua kile roho inapenda basi. hayo masuala ya watu kusasambua mbususu wewe hayakuhusu na huna control nayo kabisa.
hao wife material wenyewe wanasasambuliwa mbususu sembuse warembo pisi kali
 
Hujambo muke ya William? Naona mumeo upara wake unazidi kuongezeka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hahahahha William yupi huyo mliniozesha tena jmn🀣

ahhh hahahah si nkasahauu mi ni Kate
Hahaha
My Future King Habibi of England upara sio tatizo kabisaaπŸ˜…πŸ€£
 
Reactions: BAK
Yani Wallahy..
Binadamu kama kinyonga sie
Kwa comment zingine humu sina mbavu
 
Hahahahahaha lol!!! Bora umejirudi mwenyewe. Nilikuwa naangalia mpira jana nikamuona uwanjani upara karibu ufike shingoni πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜˜

Hahahahha William yupi huyo mliniozesha tena jmn🀣

ahhh hahahah si nkasahauu mi ni Kate
Hahaha
My Future King Habibi of England upara sio tatizo kabisaaπŸ˜…πŸ€£
 
Unafanya hayo yote alafu ukimuweka ndani kuna mwamba anakuja kula tunda kimasikhara
 
Nina mdada ananpenda,anajua kupika, na yupo vzur kwny sex. Lakn sura na shape ni mbovu. Afu simpendi kiviiileeeee vp nimchukue??.

Mana hawa wadada wengne wenye sura na shape nzuri wana nyodo sana yan

Kipi bora kuoa unaempenda lakn hakupendi au anaekupenda lakn humpendi?
 
Hata sijasoma mpaka mwisho coz story unazoletaga hapa jukwaani ..zinaashiria we ni tatizo
 
Unatakiwa wote wapendane sio mtu mmoja bado hujaafiki wewe kama wewe
 
Wanaume weng tunaish katika ndoa kwa misuguano Sana sema tukitoka nje na wake zetu tunazuga kuwa na furaha

Makosa ya lishafanyika toka kizaz kwa kizaz mwanamke au mwanaume msafi Ni aliekuwa na bikra pekeee

Huwez ukaniambia uko na furaha wakat mwanamke au mwanaume uliefunga nae ndoa hamjakutana wote mkiwa bikra

Kumbuka wote mlishafanya maagano ya tendo la ndoa mkalibatilisha na watu wengne huko na kumbuka maagano hayo ukishaweka TU kwisha Kaz

Busara Ni kuish tu kwa sababu wote Ni wazinz .watu wanaangalia kupika sijui majukumu ya nyumbani hapana jukumu la mwanamke na mwanaume Ni tendo la ndoa TU hayo mengne yako kwa sababu tunaish.ndio maana kwa Mungu alisema atazaa kwa uchungu na mwengne atakula kwa jasho

Tunaugiza usasa Sana na ujamii Sana kushinda maandiko yanavyosema

Hakuna mwanamke mkamilifu Wala mwanaume mkamilifu mpaka dunia inaisha

NB : KUBALI KUISHI KWA MAUMIVU UNAYO YAPATA NA UKUBALI KUYAPUNGUZA KULIKO KUYAACHA UKAENDA KUPATA MAUMIVU USIOWEZA KUYAPUNGUZA
 
Umegonga penyewe sasa swali je viumbe sie wazito kuweza?
Amin amin nakwambia ni rahisi tajiri kuuona ufalme wa Mungu kuliko viumbe wazito kujikana nafsi na kuacha uzinzi aka tendo kabla ya ndoa aka purity!!!!
 
Hapa naungana na wewe...you are very right
 
Kwa ustawi wa familia mwanamke anayekupenda zaidi ya unavyompenda ndio hasa anafaa sema umpate atleast unayeweza engage nae kwenye sex bila tatizo maana kwa ambaye unamuona ni dumuzi sana hata kufanya nae mapenz unakosa hamu jua huyo utamtesa bure tu!

Mwanamke anayekupenda atakuheshimu na atakusikiliza by 100%! You will not lose attraction to her by being overnice sababu wewe ndio una power zaidi ya kumpeleka unavyotaka. We all need a submissive woman na mwanamke aina hii ni yule anayekupenda na usaliti kwao ni very rare cases. Uvumilivu ni mkubwa sana kwa mwanamke anayekupenda kuliko ambaye wewe unafosi akupende, utaingia gharama sana kwa kumrubuni na pesa na pia anaweza still asikuelewe akawa anakuendesha kama gari bovu yani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ na mwisho atakutosa tu!

Kwa ushauri wangu kama huyo mwanamke anakufaa kwa sex na tabia endelea nae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…