sayoo JF-Expert Member Joined Nov 19, 2014 Posts 5,280 Reaction score 7,930 Aug 19, 2021 #101 Mshana Jr said: Uchumba wa miezi 12 ndio tatizo Click to expand... Hivi uchumba minimum inatakiwa iwe muda gan mkuu ?
Mshana Jr said: Uchumba wa miezi 12 ndio tatizo Click to expand... Hivi uchumba minimum inatakiwa iwe muda gan mkuu ?
Patra31 JF-Expert Member Joined Apr 24, 2020 Posts 6,918 Reaction score 13,885 Aug 19, 2021 #102 "Mahindi yanasagwa kwenye mashine ya kisagia mahindi na sio mashine ya kukoboa mpunga" Kwaiyo kuona hao "wife material" hakukufanyi kuwa na ndoa ya furaha na bora kama ww mwenyewe haujaamua kuwa mme bora kwake
"Mahindi yanasagwa kwenye mashine ya kisagia mahindi na sio mashine ya kukoboa mpunga" Kwaiyo kuona hao "wife material" hakukufanyi kuwa na ndoa ya furaha na bora kama ww mwenyewe haujaamua kuwa mme bora kwake