Kwanini tunapenda kuigana?


Damn homie...

You ain’t cop that Macan yet?

I thought you did a couple years ago....[emoji2]
 
Aight...aight.

So what’s it gon’ be?

Straight cash [emoji383]? Financing? Or leasing?
I don't like the mileage restrictions on leasing, plus I'm an ownership freak.

I once considered straight cash, on account of getting a better deal. But it's not that big of a difference considering the many ways that type of G's can be flipped otherwise.

I may consider financing, with a steep downpayment.

But right now I am loving how my X5 handles, so no hurry at all. I need to put a couple miles on it before the next (well justified) indulgement.

You only live once.
 
Personally I hate uniformity..... Ila kuna watu hawapitwi na fasheni... Nakumbuka enzi za Afro (sio Shiraz party), raizon mpaka kibwenzi na kiduku, mashati ya Juliana (meusi yakiwa na picha kubwa ya TAI), chirmen, chachacha, mchelemchele, savco jeans, Biotec trousers Dah! Fasheni ya chaser mayai, Mark II , balloon mpaka hiyo mi breviss ya sasa
 
Labda tujiulize, je kiwanda huwa kinaproduce copy moja tu if not a special requests? Mathalani ukienda kwenye maduka makubwa kama H&M, Gap, etc utakuta copy moja tu ya product? Vitu vingi vinafanana kwa sababu kiwanda kikiproduce copy moja (if not a special request) je kitaweza kweli kujiendesha? Lakini pia umekwenda kununua shati ukakuta yametundikwa mengi sana sasa kesho unakuta na mtu mwingine kalivaa are you going to be supervised? Tuchukulie hata mobile phones je Samsung, iPhone, HTC, etc je utashangaa kuona jirani anayo kama yako ilhali madukani zimejaa. Vile vile kuna mfanano kwa sababu ya upatikanaji wa vitu eneo husika. Kama design flani ndio ipo kwenye maduka na ndio inatrend kwenye fashion na soko lazima hata wauzaji walete kwa wingi.
 

Umemsoma vizuri mwanzisha mada lakini?
 
Nimekusoma.
 
Aisee....common sense is not very common. Sawa ngoja nikupe mfano rahisi.
1.Nimeenda kununua viatu naenda kazini nakutana na mtu amevaa same shoes, kanunua anaoopajua kwa muda wake,SIZUNGUMZII
SCENARIO HII.
2.Nimenunua shati naenda kazini nakutana na jamaa ofisi moja ananiuliza umenunua duka gani kesho ananunua same shirt wiki inayofuata tunaingia ofisini tumevaa same shirt kila kitu, HIKI NDIO NAZUNGUMZIA,honestly nitaligawa hilo shati.
 
I concur wit u
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…