Kwanini tunapenda kuigana?

Ni aina fulani ya mental disability.
Yaani, halafu anafanya hivyo aweze kupata Compliments na kukubalika kwenye same jamii....
Bora u copy ukafanyie huko mbali na sio kuonyeshana mashindano.

Sikatai kuiga lakini iga kwa akili na sio unaiga mpaka unaonekana kuwa unamwiga mtu Fulani.
 
Yaani, halafu anafanya hivyo aweze kupata Compliments na kukubalika kwenye same jamii....
Bora u copy ukafanyie huko mbali na sio kuonyeshana mashindano.

Sikatai kuiga lakini iga kwa akili na sio unaiga mpaka unaonekana kuwa unamwiga mtu Fulani.
Hao wengine inabidi unawaacha kwenye vumbi kwa style ya "iga ufe".
 

mimi mbona nilimuiga BADILI TABIA kuinunua hiyo......lakini hajalalamika.......?......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…