Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,329
- 2,169
Waulize wanajifunga mabomu kulipua wasiohusika, Kisha wanaficha silaha kwenye makazi ya watuMimi siwaelewi watu wanaoshabikia vita kama vile ni Premier League. Hivi hatuelewi huko Ukraine, Gaza na sasa Lebanon watu (ikiwa pamoja na watoto) wanakufa, wanapata ulemavu na maisha yao kuharibiwa kwa kosa ambalo sio lao?
Unahisi kabisa excitement ya watu wanapozungumzia mabomu yanavyoangushwa, nyumba zinavyolipuliwa na wanajeshi wanavyovamia!
Kwa kweli inasikitisha.
Amandla!
Sasa iwapo Hamas wameenda wenyewe kuipiga Israel na kisha wakajinadi kuwa wanaenda kuifuta Israel kwenye uso wa dunia unadhani hiyo ni habari ndogo?Hiki kitu huwa nawambia watu sana, ni reflection ya elimu yetu
Majority ya watanzania hawana critical thinking, wengi ni wajuaji tu, wanapenda ushabiki na kwenda na vichwa vya habari, vichwani 0
Huu ushabiki wa simba na yanga wameuweka kwenye kila kitu
Ukraine wanajilipua? Hind Rajab alijipua?Waulize wanajifunga mabomu kulipua wasiohusika, Kisha wanaficha silaha kwenye makazi ya watu
Ni namna ya mwisho ya kushikishana adabu,baada ya manunda kufikia kiwango cha kutokuelewa katika utaratibu wa kawaidaMimi siwaelewi watu wanaoshabikia vita kama vile ni Premier League. Hivi hatuelewi huko Ukraine, Gaza na sasa Lebanon watu (ikiwa pamoja na watoto) wanakufa, wanapata ulemavu na maisha yao kuharibiwa kwa kosa ambalo sio lao?
Unahisi kabisa excitement ya watu wanapozungumzia mabomu yanavyoangushwa, nyumba zinavyolipuliwa na wanajeshi wanavyovamia!
Kwa kweli inasikitisha.
Amandla!
Mi nazani vita yenye mtazamo wa Derby ndio yenye mapenzi zaidi kuliko vita zingine, mfano vita ya Urusi na Ukraine sizani kama Kuna ushabiki kama hi inayoonekana ni Derby.Mimi siwaelewi watu wanaoshabikia vita kama vile ni Premier League. Hivi hatuelewi huko Ukraine, Gaza na sasa Lebanon watu (ikiwa pamoja na watoto) wanakufa, wanapata ulemavu na maisha yao kuharibiwa kwa kosa ambalo sio lao?
Unahisi kabisa excitement ya watu wanapozungumzia mabomu yanavyoangushwa, nyumba zinavyolipuliwa na wanajeshi wanavyovamia!
Kwa kweli inasikitisha.
Amandla!