Kwanini tunapokuwa Safarini hasa kwenda Mikoani Abiria wa Kiume na wa Kike huwa hatuoneani Aibu tunapojisaidia Vichakani?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Je, ni Saikolojia gani ambayo huwa ipo tu kwa Sisi Wanadamu ( Abiria ) hasa pale tuwapo Safari za Masafa marefu ambapo unaweza kukuta Abiria wa Kike tena ni Mrembo kabisa ( Sista Duu ) lakini wakati wa kujisaidia Haja Ndogo Vichakani ( Kuchimba Dawa ) huwa wanakuwa hawana Aibu ambapo huchojoa Nguo zake na Kuinama Kukojoa zake huku akikukodolea Wewe Mwanaume na kuna wakati anaweza hata Kukuambia Mwambie Dereva asiondoe Gari Kwanza namalizia Kukojoa.

Muwapo katika Mabasi haya ya Mikoani Aibu zetu huwa zinaenda Likizo ya wapi?
 
1. Ni kwa sababu wote hatujuani

2. Ukibanwa mkojo ni kama mgonjwa au mama anaye taka kijifungua kiasi kwamba anaweza vua nguo zake zote na asione aibu.

3. Aibu huja kwa mtu unaye fahamiana naye..


Ndio maana huwezi kumwonea aibu daktari.. wanawake wanalijua hili vizuri.. daktari anaweza shika hata kitumbua na usione genye hata kidogo.
 
Aibu haziendi likizo,huwa tunazisafirisha siku moja ama mbili kabla ya safari....yaani kama safari ni jumamosi,inabidi aibu zisafiri alhamisi ama ijumaa

Baada ya hapo tukisafiri jumamosi tunakutana nazo tukifika tunakoenda

Kuna Mdada Mmoja nakumbuka wakati Mimi nakojoa Vichakani na Yeye akikojoa jirani yangu kabisa nilimsikia Akijamba kabisa huku akiusubiria Mjambo wake wote huishe na tuliporudi tena ndani ya Basi kuna muda Yeye huyo huyo aljimba tena kwa Awamu ya Pili na cha Kushangaza akaanza Kuwashtukia Abiria wengine mule huku akiwasema ila nilipogeuka na Kugonganisha nae Macho akanyamaza kwani bahati nzuri harufu ya Mjambo wake nilikuwa nimeshaukariri tokea tulipokuwa kule chini tukichimba dawa na nilikuwa na uhakika kuwa ni Yeye na nikataka ' nimchane ' ila nikamstahi tu. Cha Kushangaza Mdada huyo huyo Siku moja nilimbahatisha akiwa Mmoja wa ' Panelists ' katika ' Interview ' moja hivi hapa hapa Dar es Salaam nikabaki Kucheka tu baada ya Kuvuta Kumbukumbu.
 
Hata wewe ukianza kuchimba dawa hutaona aibu na mkuyenge wako tena utakuwa unaukung'uta hadi unagusa mapaja kama mkia wa kondoo dume, wakati huo umekodolea gari ili usiachwe.


NB: Ukiyajua maumivu ya kuachwa na gari hutaona aibu kuchimba mizizi/dawa
 
Hooo
 

Unaweza jikuta unacheka kwenye interview wakahisi labda we chizi kumbe umekumbuka mbaaali kabisa [emoji23][emoji23]
 
Hapo Muda Sio Rafiki Halafu Kama Umebanwa Daah!!
Maumivu ya Kuachwa na Garii Sio Poa Kabiisa
 
Hata wewe ukianza kuchimba dawa hutaona aibu na mkuyenge wako tena utakuwa unaukung'uta hadi unagusa mapaja kama mkia wa kondoo dume, wakati huo umekodolea gari ili usiachwe.
NB: Ukiyajua maumivu ya kuachwa na gari hutaona aibu kuchimba mizizi/dawa
Kuachwa na gari acha kabisa, ndiyo ukute hata nusu ya safari haijaisha, ukiangalia huku na kule unaona miti na ukitizama mbali zaidi unaona nyumba moja pekee ya bati,
Na unaishiwa zaidi nguvu unapoona hakuna dalili ya gari wala pikikipi inayokuja walau ikupe tafu kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…