Tajiri mpole
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 2,890
- 5,632
Hao wote watashauri mashauri yatakayolenga kustawi kwa mali zao walizoiba..Hakuna Msafi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rekebisha Mwenyewe.Mods rekebisha heading tafadhali
Bado hujashuka kwenye Ungo? 😀Rekebisha Mwenyewe.
Chawa promax kmamko.Rekebisha Mwenyewe.
oteaUnaelewa maana ya kuiba?
Kama ni kwa CCM peke yake sawa. Lakini kama ni kwa Taifa inabidi hilo baraza liwe na watu toka vyama na itikadi tofauti. Vinginevyo litakuwa baraza la wazee wa CCM.Kama taifa ingependeza kama tungekuwa na Baraza la Ushauri la Viongozi Wakuu wastaafu Mzee Kikwete Dr Bilal Mzee Karume Dr SheIn na Mzee Salmin Komandoo
Nawatakieni Sabato nje
Upinzani wako akina Nani?Kama ni kwa CCM peke yake sawa. Lakini kama ni kwa Taifa inabidi hilo baraza liwe na watu toka vyama na itikadi tofauti. Vinginevyo litakuwa baraza la wazee wa CCM.
Ina maana upinzani hakuna watu? Halafu sio lazima iwe wanasiasa pekee. Kama ni baraza la ushauri linaweza kuhusisha hata wasomi wa kada mbalimbali, sio lazima liwe la wanasiasa tu.Upinzani wako akina Nani?
Hawa walioshinikiza kuvunjwa Katiba ya CCM kumpitisha Samia?Kama taifa ingependeza kama tungekuwa na Baraza la Ushauri la Viongozi Wakuu wastaafu Mzee Kikwete Dr Bilal Mzee Karume Dr SheIn na Mzee Salmin Komandoo
Nawatakieni Sabato njema 😀
Hivi una akili sawasawa wewe? Hayo majambazi ndiyo yawe washauri!Kama taifa ingependeza kama tungekuwa na Baraza la Ushauri la Viongozi Wakuu wastaafu Mzee Kikwete Dr Bilal Mzee Karume Dr SheIn na Mzee Salmin Komandoo
Nawatakieni Sabato njema 😀
Wewe mwenyewe jambazi utaelewaje kuiba?Unaelewa maana ya kuiba?
Hakuna mwenye jipya hapoKama taifa ingependeza kama tungekuwa na Baraza la Ushauri la Viongozi Wakuu wastaafu Mzee Kikwete Dr Bilal Mzee Karume Dr SheIn na Mzee Salmin Komandoo
Nawatakieni Sabato njema 😀
HAkuna watu hapoKama taifa ingependeza kama tungekuwa na Baraza la Ushauri la Viongozi Wakuu wastaafu Mzee Kikwete Dr Bilal Mzee Karume Dr SheIn na Mzee Salmin Komandoo
Nawatakieni Sabato njema 😀
Toba ambayo alikuwa anajua haitokuwa na athari yeyote katika maisha yake na maslahi yake. ???????!!!!Ukiwa Nje ya Uongozi Ndio macho yanaanzaga kuona
Soma Toba ya Mkapa kitabuni kwake
Waishauri ccm maana ndio chama chao.Kama taifa ingependeza kama tungekuwa na Baraza la Ushauri la Viongozi Wakuu wastaafu Mzee Kikwete Dr Bilal Mzee Karume Dr SheIn na Mzee Salmin Komandoo
Nawatakieni Sabato njema 😀