Kwanini tusiwe na Baraza la Ushauri la Viongozi Wakuu wastaafu Mzee Kikwete, Dr Balal, Mzee Karume, Dr SheIn na Mzee Salmin Komandoo?

Kwanini tusiwe na Baraza la Ushauri la Viongozi Wakuu wastaafu Mzee Kikwete, Dr Balal, Mzee Karume, Dr SheIn na Mzee Salmin Komandoo?

Kama taifa ingependeza kama tungekuwa na Baraza la Ushauri la Viongozi Wakuu wastaafu Mzee Kikwete Dr Bilal Mzee Karume Dr SheIn na Mzee Salmin Komandoo

Nawatakieni Sabato njema 😀
Ni wazo zuri lakini umebagua wapo wastaafu viongozi wa upinzani,au wao siyo watanzania? Je siku ccm ukitoka madarakani livunjwe?
Nadhani hili halitakiwi kuwa na muelekeo wa chama bali Taifa
 
Ni wazo zuri lakini umebagua wapo wastaafu viongozi wa upinzani,au wao siyo watanzania? Je siku ccm ukitoka madarakani livunjwe?
Nadhani hili halitakiwi kuwa na muelekeo wa chama bali Taifa
prof lipumba???/
 
Back
Top Bottom