Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
Haya bhana mpinzani wanguAiseeee
Duh tunajijibu daah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya bhana mpinzani wanguAiseeee
Duh tunajijibu daah
[emoji3061][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbona naskia alikiba Ameshachaguliwa na yumo kwenye vipengele kama 2 na wakina burna boy sema tu hajataka tu kutangaza yani show off hapendi yeye vitu vyake sio vya watanzania ni vya familia yake anaitafutia[emoji16][emoji106]
Hahaawasanii wetu wamekuwa wakubwa kuliko hizo tuzo
Mziki au fani huwa ipo fair kwa mtu anaye jibrand mkuuSho madjozi kwa mziki upi mpaka aingie hapo?
Ulivyoandika kwamba hakuna wasanii kutoka EA ,nikahisi kuna wasanii wengi kutoka south, west na north kumbe upupu mtupuNimejaribu kucheck orodha sijaona hata msanii mmoja kutoka nyumban na EA kwa ujumla, hii maana yake nini? Mziki wetu umeshuka? Au wasanii wetu washalizika? Au tuseme ushindani umezidi...
Majina ya wanaowania tuzo kwa wasanii kutoka Afrika;
Burna boy(Nigeria), Innos B(Congo), Sho madjiz(Afrika kusini), S.PRI Noir(Ufaransa), Ninho(Ufaransa),Dave(Uingereza) na stormzy(Uingereza)
Mziki au fani huwa ipo fair kwa mtu anaye jibrand mkuu
kama Kiba au sioHasara ya copy and paste huku hujui kuimba live cheiiii
Povu ruksa
Unamaanisha nani?Hat yule mweny followers bili 1 hayupooooh? Khaaaaaaah uwiiiiiiiiiiih hatareee san.
Sho madjozi kwa mziki upi mpaka aingie hapo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona naskia alikiba Ameshachaguliwa na yumo kwenye vipengele kama 2 na wakina burna boy sema tu hajataka tu kutangaza yani show off hapendi yeye vitu vyake sio vya watanzania ni vya familia yake anaitafutia[emoji16][emoji106]
Maybe kulima koroshoMwakani konde boy itamuhusu
IyaaaaSho madjozi kwa mziki upi mpaka aingie hapo?
Mbona huyo Mwenye Nguvu hayupo?Hayupo Davido, Wizkid,Simi,tiwa savage af mnashtuka nini ???? halafu huyo innoss ni nguvu ya mondi hapo hapo najua robidinyo atapinga.
Ataingia na nyimbo ipi sasa wakati watu tuliowazoea hata kuwepo nominees safari hii hawapo.Najiuliza wale viewers bil 1 ni wa wapi mpk yeye asiwepo???[emoji849][emoji849]
Hat yule mweny followers bili 1 hayupooooh? Khaaaaaaah uwiiiiiiiiiiih hatareee san.
Ni viewers bhan lolFollowers 1bil? Ni Total Views
Ni viewers bhan lol
uzuri yebaba iyoooo yupo.Mbona huyo Mwenye Nguvu hayupo?