Kwanini tuzo za BET2020 hakuna msanii hata mmoja kutoka Afrika Mashariki?

Kwanini tuzo za BET2020 hakuna msanii hata mmoja kutoka Afrika Mashariki?

So viewers bali views.
[emoji120][emoji120][emoji120]Haya nashukuru kwa kunirekebisha, wengine tuliishia kuchunga ng'ombe tyuuh, hatuelew lolote, hiyo lugha ya malkia ndo kabisa naona giza tyuuh. Mweeeeeeeh
 
Kila msanii mwaka huu anaimba nyimbo za ccm za kumuabudu yesu magufuli BET hawawezi kuweka takataka zenu hizo
 
Back
Top Bottom