Kwanini TUZO zote za muziki zinazoanzishwa Tanzania zinakufa

tuzo ni wadhamini sasa kama wadhamin hawataki? achana na mambo ya tuzo tu hata mashindano kama Bongo Star Search yanakufa miguu juu sababu wahusika hawawezi kujisimamia wenyewe uwezo wa kifedha ni mdogo. alafu kwa jina walilonalo EATV ilipaswa tuzo zao ziwe kubwa kuliko zote africa mashariki na ziwe endelevu. nadhani nextime wataporudi tena waingie mkataba na wadhamini kwa miaka 5 hivi na kuendelea kama wanavyofanya marekani sio mdhamini anadhamini mwaka huu mwaka kesho anapiga-DASH!.

CONCLUSION
AZAM pekee ndo watauweza mchezo huu maana wanajiweza kila kitu. ngoma inaweza kwenda kavu kavu bila mdhamini. [HASHTAG]#DadIsComing[/HASHTAG]
 
ni..wasanii..wenyewe..wanaziua,kutokana..na..wivu..pia..waandaaji..wanakuwa..hawajajipanga,na..hawana..plan..ya..muda..mrefu.
 
Umesahau vilevile TUZO ZA WATU za Bongo5 nazo zimekufa kifo cha mende
 
Sio kwa Tanzania tu.

Vitu vingi vinavyoanzishwa na Mtu au Watu weusi havidumu asilani.

Hatujui Handling na Management ya programs au projects tunazozianzisha.
 
Hizi tuzo zilionekana kibwego baada ya kuja kuinekana kama nibtuzo zilizoanzishwa kukoleza mabifu ya wasanii coz sikuona utofauti wa tuzo za EATV na zile za ktma kuwa yule mwenye kura nyingi ndo anakuwa mshindi wangeunda jopo la majaji wananchi wakawa na aslimia hata 40 alafu sitini za majaji hiyo inapunguza mihemuko.

Halafu nilikuja kuzidharau baada ya wcb wasafi kukacha kushiriki na wala siyo wao tu maana kuna wasanii kibao walizitosa badala wachukuloe changamoto ikawa beef tena ndo hapo nikaona hizi tuzo zilikuw zimeandaliwa ki team na kukoleza ma beef.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…