Squidward
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 7,828
- 9,546
tuzo ni wadhamini sasa kama wadhamin hawataki? achana na mambo ya tuzo tu hata mashindano kama Bongo Star Search yanakufa miguu juu sababu wahusika hawawezi kujisimamia wenyewe uwezo wa kifedha ni mdogo. alafu kwa jina walilonalo EATV ilipaswa tuzo zao ziwe kubwa kuliko zote africa mashariki na ziwe endelevu. nadhani nextime wataporudi tena waingie mkataba na wadhamini kwa miaka 5 hivi na kuendelea kama wanavyofanya marekani sio mdhamini anadhamini mwaka huu mwaka kesho anapiga-DASH!.
CONCLUSION
AZAM pekee ndo watauweza mchezo huu maana wanajiweza kila kitu. ngoma inaweza kwenda kavu kavu bila mdhamini. [HASHTAG]#DadIsComing[/HASHTAG]
CONCLUSION
AZAM pekee ndo watauweza mchezo huu maana wanajiweza kila kitu. ngoma inaweza kwenda kavu kavu bila mdhamini. [HASHTAG]#DadIsComing[/HASHTAG]