Pre GE2025 Kwanini Uchaguzi wa Kanda za CHADEMA una msisimko mkubwa kiasi hiki?

Pre GE2025 Kwanini Uchaguzi wa Kanda za CHADEMA una msisimko mkubwa kiasi hiki?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Niko kwenye Chama hiki kwa miaka yote na nashuhudia Chaguzi nyingi sana za ndani, lakini kiukweli sijawahi kuona Uchaguzi wa ndani ya Chama hiki ulio na msisimko kama uchaguzi wa mwaka huu, na hasa kwenye ngazi ya Kanda.

Naomba sana Busara itawale ili Chama kisipasuke

Angalia mambo haya.

Screenshot_2024-04-17-11-22-33-1.png


Screenshot_2024-04-17-11-35-48-1.png


Screenshot_2024-04-17-11-21-41-1.png
 
Huyu mwanamke hanaga la kufanya zaidi ya kusifia chadema chama kisicho na matumaini ya kushika dola
 
Back
Top Bottom