Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Kwi Kwi Kwi ! Kuwa makini , utadhalilikaErythrocyte WE ULIFIKIRI NI NANI WEWE HAPO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwi Kwi Kwi ! Kuwa makini , utadhalilikaErythrocyte WE ULIFIKIRI NI NANI WEWE HAPO
Halafu ni MakamandaMis
misukule ya mzee mbowe bana eti wanajiita wapiganaji🙆♂️🙆♂️
Acha ufala ni sanaa tu hizo za mwenyekiti aliyepo kuhakikisha yeye na watu wake wanabaki madarakaniNiko kwenye Chama hiki kwa miaka yote na nashuhudia Chaguzi nyingi sana za ndani, lakini kiukweli sijawahi kuona Uchaguzi wa ndani ya Chama hiki ulio na msisimko kama uchaguzi wa mwaka huu, na hasa kwenye ngazi ya Kanda.
Naomba sana Busara itawale ili Chama kisipasuke
Angalia mambo haya.
Wewe unajua maana ya uchaguzi wa ndani?Unademka na kusisimka peke yako bila ya wewe kutujulisha nani ana habari na vurugu zenu!
Jua wewe!Wewe unajua maana ya uchaguzi wa ndani?
Wewe umeumwa na nyoka mwili una ganzi.Ndo nakusikia wewe na hiyo misisimko
Kwamba wewe ndio ujue halafu sisi tusijue ?Acha ufala ni sanaa tu hizo za mwenyekiti aliyepo kuhakikisha yeye na watu wake wanabaki madarakani
Akili anayo ila ndogo/finyuToo young to understand , kunifananisha mimi na huyo Mwashambwa ni dhahiri huna akili