Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Sasa ni mimi au Magazeti?umekua kama Lucas Mwashambwa wa mamilioni ya watanzania kububujikwa na machozi.
Hoo,,kumbe mamalioni ya magazeti wanasisimka kwa kububujikwa na machozi kwa furaha🤣Sasa ni mimi au Magazeti ?
Hivi Chadema nako kuna hela ?Ni ushahidi wa tatizo la ajira Tanzania, hao wote hakuna anayetaka kujishughurisha na mengine zaidi ya siasa.
Shida inaanzia bungeni wanayolipana mishahara ya kufuru.
Too young to understand , kunifananisha mimi na huyo Mwashambwa ni dhahiri huna akilihoo,,kumbe mamalioni ya magazeti wanasisimka kwa kububujikwa na machozi kwa furaha🤣
Sasa wewe una akili zipi kutwa kupambania maisha ya wenzio waende bungeni wakikubakiza kuwa mlalamikaji mkuu wa jf?Too young to understand , kunifananisha mimi na huyo Mwashambwa ni dhahiri huna akili
Unademka na kusisimka peke yako bila ya wewe kutujulisha nani ana habari na vurugu zenu!Niko kwenye Chama hiki kwa miaka yote na nashuhudia Chaguzi nyingi sana za ndani, lakini kiukweli sijawahi kuona Uchaguzi wa ndani ya Chama hiki ulio na msisimko kama uchaguzi wa mwaka huu, na hasa kwenye ngazi ya Kanda.
Naomba sana Busara itawale ili Chama kisipasuke
Angalia mambo haya.
Unaandika huku unalia kisa nini ?Unademka na kusisimka peke yako bila ya wewe kutujulisha nani ana habari na vurugu zenu!
Kwa vyeo hivyo wanavyogombea pesa ipo na status.Hivi Chadema nako kuna hela ?
Nimekudharau sana !Sasa wewe una akili zipi kutwa kupambania maisha ya wenzio waende bungeni wakikubakiza kuwa mlalamikaji mkuu wa jf?
hata mimi pia nimekudharau🚮🚮Nimekudharau sana !
Mwanamke yupi ?Huyu mwanamke hanaga la kufanya zaidi ya kusifia chadema chama kisicho na matumaini ya kushika dola
Erythrocyte WE ULIFIKIRI NI NANI WEWE HAPOMwanamke yupi ?
misukule ya mzee mbowe bana eti wanajiita wapiganaji🙆♂️🙆♂️Niko kwenye Chama hiki kwa miaka yote na nashuhudia Chaguzi nyingi sana za ndani, lakini kiukweli sijawahi kuona Uchaguzi wa ndani ya Chama hiki ulio na msisimko kama uchaguzi wa mwaka huu, na hasa kwenye ngazi ya Kanda.
Naomba sana Busara itawale ili Chama kisipasuke
Angalia mambo haya.
kwan kuna uchaguzi huko kwenu?Niko kwenye Chama hiki kwa miaka yote na nashuhudia Chaguzi nyingi sana za ndani, lakini kiukweli sijawahi kuona Uchaguzi wa ndani ya Chama hiki ulio na msisimko kama uchaguzi wa mwaka huu, na hasa kwenye ngazi ya Kanda.
Naomba sana Busara itawale ili Chama kisipasuke
Angalia mambo haya.
Pole sana nalia kwakua chadema tuliyoiasisi sio hii chadema nionayo sasa chama kimezimika!Unaandika huku unalia kisa nini ?