Kwanini Ujerumani iko underrated (inachukuliwa poa) sana kwa matatizo iliyosababishia dunia?

Kwanini Ujerumani iko underrated (inachukuliwa poa) sana kwa matatizo iliyosababishia dunia?

Tanzania inatakiwa kuishitaki Ujerumani na ilipe fidia kwa kadhia yote ile waliyoifanya nchini - mauaji ya raia kupitia vita vyake wakati wa kupora ardhi yetu.
Wajerumani ni wa binafsi, mara mia hata tungetawaliwa na mmarekani.
 
Tanzania inatakiwa kuishitaki Ujerumani na ilipe fidia kwa kadhia yote ile waliyoifanya nchini - mauaji ya raia kupitia vita vyake wakati wa kupora ardhi yetu.
Wajerumani ni wa binafsi, mara mia hata tungetawaliwa na mmarekani.
Wajerumani wameshatupa misaada sana, labda hiyo ndio fidia yenyewe.
 
Watu wengi huwa wanawalaumu Wayahudi na kuwazushia conspiracies nyingi sana kwamba wamesababisha matatizo makubwa kwa dunia, mimi nafikiri hii ni tabia ya ukasuku wa watu kukariri tu mambo yanayosemwa bila kuyatafakari.

Kama kuna taifa ambalo limechangia madhila makubwa duniani ni Ujerumani (japo wametubia baadhi). Tafakari baadhi ya mambo waliyohusika nayo ambayo yalileta mabalaa makubwa kwa dunia yetu.

1. Walikuwa kichochezi kikubwa kuanza kwa vita vya kwanza vya dunia(WW I) kwa maslahi yao binafsi.

2. Walikuwa waanzilishi wa moja kwa moja wa vita vya pili vya dunia(WW II)

3. Walihusika na genocide kubwa zaidi kuwahi kutokea duniani, wakiwaua mamilioni ya Wayahudi.

4. Walihusika kugawanywa rasmi kwa bara la Africa kuwa makoloni ya Ulaya kupitia mkutano wa Berlin 1884/85.

5. Kupitia raia wake wawili Karl Marx and Freidrich Engels ambao wanachukuliwa kama waanzilishi wa falsafa ya ujamaa kitaifa wamehusika kuibuka kwa watawala wenye idea ya ujamaa ambayo imeharibu sana nchi nyingi duniani mpaka leo hii.
Hayo mambo hayahusiani na taifa. Kuna watu wako underground wanapanga yatokee.
 
Kwa Sasa Ujerumani ni kama colonial state ya US kijeshi coz hapo katika mkataba wa mwaka 1954 US na nchi nyingine 8 za NATO zilipewa acces ya kuwa na askari wao katika Ujerumani. Hili lilitokea koz vita ilishaisha na Sasa vita baridi ilikuwa kileleni ikitikisa. Hivyo basi ruhusa hiyo ilikuwa ni katika kuilinda Ujerumani dhidi ya Soviet Russia na pia kuendelea kucounterchek mienendo ya postwar German. Mpaka mwaka 2019 US na wenzake walikuwa na askari 400000 .
 
Kabla nilifikiri hivyo pia, ila baadae nikaja gundua 1 na 2, vita ya kwanza ni mipango iliyofanywa na Uingereza yenyewe.
Fatilia vizuri utapata majibu.
 
Watu wengi huwa wanawalaumu Wayahudi na kuwazushia conspiracies nyingi sana kwamba wamesababisha matatizo makubwa kwa dunia, mimi nafikiri hii ni tabia ya ukasuku wa watu kukariri tu mambo yanayosemwa bila kuyatafakari.

Kama kuna taifa ambalo limechangia madhila makubwa duniani ni Ujerumani (japo wametubia baadhi). Tafakari baadhi ya mambo waliyohusika nayo ambayo yalileta mabalaa makubwa kwa dunia yetu.

1. Walikuwa kichochezi kikubwa kuanza kwa vita vya kwanza vya dunia(WW I) kwa maslahi yao binafsi.

2. Walikuwa waanzilishi wa moja kwa moja wa vita vya pili vya dunia(WW II)

3. Walihusika na genocide kubwa zaidi kuwahi kutokea duniani, wakiwaua mamilioni ya Wayahudi.

4. Walihusika kugawanywa rasmi kwa bara la Africa kuwa makoloni ya Ulaya kupitia mkutano wa Berlin 1884/85.

5. Kupitia raia wake wawili Karl Marx a Freidrich Engels ambao wanachukuliwa kama waanzilishi wa falsafa ya ujamaa kitaifa wamehusika kuibuka kwa watawala wenye idea ya ujamaa ambayo imeharibu sana nchi nyingi duniani mpaka leo hii.
Tatizo la Germany sasa hv amekuwa km babalevo uchawa tu kwa USA hana maamuzi binafsi inamuondolea heshima yy atakachoongea USA anafuata tu
 
Back
Top Bottom