Kwanini ukijenga nyumba Vikindu na Mbagala hata iwe ya kifahari itakuwa ya kishamba tu?

Kwanini ukijenga nyumba Vikindu na Mbagala hata iwe ya kifahari itakuwa ya kishamba tu?

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Kwanini hivi huwa hata ujenge ghorofa mjengo wa milioni 200 wa kuishi Chamazi, mmbande, mbagala hadi Vikindu bado tu itaonekana ni kama umechezea hela? Au umejenga sehemu isiyo faa au lazima itaonekana ina kasoro?

Maana utaskia mtu anasema "daaah mjengo mkali ila upo mbagala' "Mjengo mkali kasoro upo vikindu". "Nyumba nzuri hivi ukaamua kujenga huku?"

Hata ujenge namna gani kuna walakini tu utakuwepo machoni au ni mindset za watu?

Huko najenga nyumba yangu ya tatu ila ya kupangishia tu sijui kwanini mimi mwenyewe nilishindwa kuweka makazi huko nikabanana huku Goba na Kimara

Kuna kamindset na mimi nakaonaga. Mtu yupo radhi aende bunju huko au kibaha huko ila sio hapo Chamazi.

Yaani hata ujenge vipi huko kuna ulow class flan hivi utaonekana tu! Sijui ni kwanini na itakwisha vipi!
 
Chamazi kuna nyumba nzuri nyingi tu watu wa kipato cha kati wanaishi

Mimi maeneo hayo ya mbagala na viunga vyake nayapenda sana sababu ya fremu za biashara.

Mbagala ina idadi kubwa sana ya watu na viunga vyake huwa vinajaa haraka. Wajanja huwa wanajenga fremu kwenye viwanja vya bara barani.. kisha wanapangisha
 
Yani Mimi nakerekaga utakuta nyumba nzuri..imezungukwa na vile vijumba viduchu duchu..khaaa!!

vikindu mbande chamanzi Kuna mijengo sema ndiyo ivyo..kumeshakua na sifa za ukijiji plus uswahili..so lazima mtu awe na mawazo Kama ya uandishi wa mleta mada.
Kikubwa kua na nyumba bana weeeh
 
Ni mindset za kishamba tu,kama umetoa kitu chako kikali, eneo kubwa, hewa fresh, unafanya mambo ndani kwako, mahitaji Yako yote unapata accordingly, tatizo linatoka wapi?

Otherwise haujiamini unawasikiliza washamba wanaodhani kuishi hayo maeneo uliyoyataja ndio ujanja hata kama eneo lake halitoshi hata parking ya Passo moja.
 
Ni mindset za kishamba tu,kama umetoa kitu chako kikali, eneo kubwa, hewa fresh, unafanya mambo ndani kwako, mahitaji Yako yote unapata accordingly, tatizo linatoka wapi? Otherwise haujiamini unawasikiliza washamba wanaodhani kuishi hayo maeneo uliyoyataja ndio ujanja hata kama eneo lake halitoshi hata parking ya Passo moja.
Maeneo aliyoyataja mwandishi ni kweli yana sifa mbaya.
1. watu wengi, tena illiterates

2. watu wa kipato cha chini

3. Ustaarabu mdogo

4. Uswahili

5. Una jengo zuri lakini wanaokuzunguka wana vyoo vya magunia (umesema yanakuhusu nini kwa vile uko kwako na kila kitu). Ikija mdundiko hutalala. Usiku wanatupa mawe kwenye mabati...ushenzi kamahuo ambao Kimara Goba and the like hakuna.

6. Security ndogo sana.

7. Usafiri shida sana kulinganisha na Goba, Kimara, Kibaha etc.

8. Unsurveyed areas dominate
 
Chamazi kuna nyumba nzuri nyingi tu watu wa kipato cha kati wanaishi

Mimi maeneo hayo ya mbagala na viunga vyake nayapenda sana sababu ya fremu za biashara.

Mbagala ina idadi kubwa sana ya watu na viunga vyake huwa vinajaa haraka. Wajanja huwa wanajenga fremu kwenye viwanja vya bara barani.. kisha wanapangisha
Wazo zuri sana
 
Yani Mimi nakerekaga utakuta nyumba nzuri..imezungukwa na vile vijumba viduchu duchu..khaaa!!

vikindu mbande chamanzi Kuna mijengo sema ndiyo ivyo..kumeshakua na sifa za ukijiji plus uswahili..so lazima mtu awe na mawazo Kama ya uandishi wa mleta mada.
Kikubwa kua na nyumba bana weeeh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni mindset za kishamba tu,kama umetoa kitu chako kikali, eneo kubwa, hewa fresh, unafanya mambo ndani kwako, mahitaji Yako yote unapata accordingly, tatizo linatoka wapi?

Otherwise haujiamini unawasikiliza washamba wanaodhani kuishi hayo maeneo uliyoyataja ndio ujanja hata kama eneo lake halitoshi hata parking ya Passo moja.
[emoji23][emoji23]
 
Maeneo aliyoyataja mwandishi ni kweli yana sifa mbaya.
1. watu wengi, tena illiterates

2. watu wa kipato cha chini

3. Ustaarabu mdogo

4. Uswahili

5. Una jengo zuri lakini wanaokuzunguka wana vyoo vya magunia (umesema yanakuhusu nini kwa vile uko kwako na kila kitu). Ikija mdundiko hutalala. Usiku wanatupa mawe kwenye mabati...ushenzi kamahuo ambao Kimara Goba and the like hakuna.

6. Security ndogo sana.

7. Usafiri shida sana kulinganisha na Goba, Kimara, Kibaha etc.

8. Unsurveyed areas dominate
Duuuh umeongea ukweli mtupu
 
Duuuh umeongea ukweli mtupu
kimsboy , nina nyumba kule, ni kwangu lkn nimehama niko Kibaha .......( ile sifa mbaya ya Mbagala and the like places around) tena kongowe, mbali kabisa na city centre. But I am comfortable with Kongowe rather than being at Mbagara!

Ila ukiwa sehemu za kibaha usinunue ndani ndani, nunua barabarani! tena nunua kiwanja kuanzia sq m 2000 not less than that.....................kiwanja kikubwa ujinafasi!
 
Back
Top Bottom