GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Usimikumbushe.
Wiki kadhaa nyuma nikiwa natoka Mbeya (Songwe Airport) kuja Dar kwa ile Bombardier ya saa 10 kasorobo. Nilikaa seat namba 11A. Nikiwa nimeshajiweka sawa, ikaingia pisi moja iliyoshiba ikawa inatafuta seat namba 11B. Ikakaribia na kukaa pembeni yangu, akatoa salamu fupi.
Tukiwa angani, stori mbili tatu akatoa na namba.
Kwa sasa ndio ameshakuwa mpenzi wangu.
Ni hatari kwa kweli maana mpaka muda!Je, huoni kwamba kwa kusema tu Wiki kadhaa, kutaja Muda na hadi Siti Namba Watu wakitaka Kukujua utakuwa Umeshawarahisishia Kazi Mkuu?
Msitufokee.
Ni hatari kwa kweli maana mpaka muda!
Kwenye muda wa ndege na wiki kadhaa ndio kwenye "codes".Je, huoni kwamba kwa kusema tu Wiki kadhaa, kutaja Muda na hadi Siti Namba Watu wakitaka Kukujua utakuwa Umeshawarahisishia Kazi Mkuu?
Home of Great Thinkers but most members don't think at all.Kwenye muda wa ndege na wiki kadhaa ndio kwenye "codes".
What if the route was not from Songwe to Dar but rather from Kilimanjaro to Mwanza?!
- Wiki kadhaa nyuma ni lini?!
Mabahari huwa wana tabia ya kuweka vitu halisi lakini hiyo ni "smoke screen"
Ukipita shule za intelligence utaelewa.
People are prone to details as the truth. Give them the details, let them believe the details,your job is to send the message.
Ndio maana wezi wenye akili huwa wana mislead vyombo vya uchunguzi kwa ku-create scenario inayowafanya polisi kuchunguza upande mwingine huku tukio limefanywa kwa namna nyingine.
Soma hivi vitabu.
1. 48 Laws of Power - Robert Greene
2. Laws of Human Nature - Robert Greene
Yaani wamtafute kwa kutongoza mwanamke kwenye ndege? Kosa ni lipi hapo?Je, huoni kwamba kwa kusema tu Wiki kadhaa, kutaja Muda na hadi Siti Namba Watu wakitaka Kukujua utakuwa Umeshawarahisishia Kazi Mkuu?
Kwenye muda wa ndege na wiki kadhaa ndio kwenye "codes".
What if the route was not from Songwe to Dar but rather from Kilimanjaro to Mwanza?!
- Wiki kadhaa nyuma ni lini?!
Mabahari huwa wana tabia ya kuweka vitu halisi lakini hiyo ni "smoke screen"
Ukipita shule za intelligence utaelewa.
People are prone to details as the truth. Give them the details, let them believe the details,your job is to send the message.
Ndio maana wezi wenye akili huwa wana mislead vyombo vya uchunguzi kwa ku-create scenario inayowafanya polisi kuchunguza upande mwingine huku tukio limefanywa kwa namna nyingine.
Soma hivi vitabu.
1. 48 Laws of Power - Robert Greene
2. Laws of Human Nature - Robert Greene
Akili kubwa!Kwenye muda wa ndege na wiki kadhaa ndio kwenye "codes".
What if the route was not from Songwe to Dar but rather from Kilimanjaro to Mwanza?!
- Wiki kadhaa nyuma ni lini?!
Mabahari huwa wana tabia ya kuweka vitu halisi lakini hiyo ni "smoke screen"
Ukipita shule za intelligence utaelewa.
People are prone to details as the truth. Give them the details, let them believe the details,your job is to send the message.
Ndio maana wezi wenye akili huwa wana mislead vyombo vya uchunguzi kwa ku-create scenario inayowafanya polisi kuchunguza upande mwingine huku tukio limefanywa kwa namna nyingine.
Soma hivi vitabu.
1. 48 Laws of Power - Robert Greene
2. Laws of Human Nature - Robert Greene
Kuna watu privacy yao sio private issue, labda tatizo ni kwa huyo 'mwenzie'.Je, huoni kwamba kwa kusema tu Wiki kadhaa, kutaja Muda na hadi Siti Namba Watu wakitaka Kukujua utakuwa Umeshawarahisishia Kazi Mkuu?
Yaani wamtafute kwa kutongoza mwanamke kwenye ndege? Kosa ni lipi hapo?
Watu wanatongozana hata kwenye majengo ya taasisi nyeti za serikali.
Kosa kama angesema amemtogoza na kufanya mapenzi na mtoto mdogo.
Kwani kuna kanuni inayoeleza watu watongozane wapi?