Kwanini ukimtongoza Mwanamke ndani ya Ndege anakukubalia kiurahisi mno kuliko ukimtongoza katika basi?

Kwanini ukimtongoza Mwanamke ndani ya Ndege anakukubalia kiurahisi mno kuliko ukimtongoza katika basi?

Sema uzuri tu ni kwamba ID yake huwa haina Michango mingi ya Kumsema Mkemia wa Geita au hata Kukisoa popote Chama chake Cha Mapigano.
Mkuu kumbuka wewe ni kada kindakindaki wa chama kile aliko bashite, anyway mimi sijawahi pata wasaha wa kukaa karibu na pisi nzuri mpaka nirushe ndoano so sina experience yoyote juu ya hili.
 
Kipidi kile Air Uganda inakuja Tz ndiyo kidogo nilitaka kurusha ndoano japo nilisita.
 
Usimikumbushe.

Wiki kadhaa nyuma nikiwa natoka Mbeya (Songwe Airport) kuja Dar kwa ile Bombardier ya saa 10 kasorobo. Nilikaa seat namba 11A. Nikiwa nimeshajiweka sawa, ikaingia pisi moja iliyoshiba ikawa inatafuta seat namba 11B. Ikakaribia na kukaa pembeni yangu, akatoa salamu fupi.

Tukiwa angani, stori mbili tatu akatoa na namba.

Kwa sasa ndio ameshakuwa mpenzi wangu.
aisee😂😂
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Tofauti ipo pale hata akikuomba nauli akasalimie kwao, anategemea umpe nauli ya ndege sio elfu 50 ya New Force [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Thamani ya wapandao kule huwa juu na haina msaada wa nauli kwa asilimia kubwa.

Kwenye basi yawezekana umechangiwa na rafiki zako ili ukawahi msiba wa baba yako au mtu wako wa karibu ili uwahi mazishi nk.
Hahaa
 
Usimikumbushe.

Wiki kadhaa nyuma nikiwa natoka Mbeya (Songwe Airport) kuja Dar kwa ile Bombardier ya saa 10 kasorobo. Nilikaa seat namba 11A. Nikiwa nimeshajiweka sawa, ikaingia pisi moja iliyoshiba ikawa inatafuta seat namba 11B. Ikakaribia na kukaa pembeni yangu, akatoa salamu fupi.

Tukiwa angani, stori mbili tatu akatoa na namba.

Kwa sasa ndio ameshakuwa mpenzi wangu.
UMALAYA HUO
WANWKE WA KUOKOTA, WAMESHAKULA WANGAPI KABLA YAKO HALAFU MUKIPATA UKIMWI ,MUMLAUMU MUNGU
Huyo hawezi kuwa mpenzi , ali wewe umekuwa msukule wake yeye, akipanda ndege akionana na mwengine shughuli ndo hiyo hiyo.
Mpaka mifuko yenu itakapo kauka ndio mtajifunza kuwa Tuylio owa tumepiga Mahesabu vizuri zaidi na faida tele tele.
 
Usimikumbushe.

Wiki kadhaa nyuma nikiwa natoka Mbeya (Songwe Airport) kuja Dar kwa ile Bombardier ya saa 10 kasorobo. Nilikaa seat namba 11A. Nikiwa nimeshajiweka sawa, ikaingia pisi moja iliyoshiba ikawa inatafuta seat namba 11B. Ikakaribia na kukaa pembeni yangu, akatoa salamu fupi.

Tukiwa angani, stori mbili tatu akatoa na namba.

Kwa sasa ndio ameshakuwa mpenzi wangu.
Nyakyusa? Jipange
 
Kila nilipopanda ndege zile wanauza duty free products, nilikuwa nateremka na kifurushi niichonunuliwa na stranger as a crush love.

Mnapitishiwa gazeti unaangalia bidhaa weeh kisha kabla ya mwisho wa safari cabin crews wanapita kuuliza kama kuna product umeipenda na unataka kununua.

Thanks to EK flights, let corona go to hell so I can fly my miles...
Hatari sana
 
Back
Top Bottom