Kwanini ukioa mwarabu/ mhindi inakuwa ngumu kwa wanafamilia wa upande wa waarabu/ wahindi kujenga undugu upande wa mme wa binti yao?

Kwanini ukioa mwarabu/ mhindi inakuwa ngumu kwa wanafamilia wa upande wa waarabu/ wahindi kujenga undugu upande wa mme wa binti yao?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Ntajikita zaid kwa wale waarabu na wahindi orijino tukiachana na hawa waliochanganywa changanywa.

hasa kwa waarabu, yaani hata uwe wa dini yao, uvae full set baraghashia + kanzu + kobazi na kujifunza hata lugha zao ili uendane nao huwa ni kazi sana upande wa familia ya kiarabu au wahindi kukuona ni mwanafamilia wao ulieoa binti yao ....

Mfano Msukuma anaweza kumuoa Mbena na hapo kunakuwa na ndugu mpya kati ya wanafamilia wa pande zote mbili katika kutembeleana, kujuliana hali, kusaidiana, n.k

lakini hili linakuwa kazi sana mtanzania mweusi (n wenye weupe wa kibongo) wakioa waarabu au wahindi
 
Waarabu hawana shida sana wanaingiliana popote labda issue ya Imani tu ndio kama sio mlango ule sahau
waarabu hata uwe mwislamu hadi wakupe binti yao labda uwe tajiri ama kiongozi mwenye cheo kikubwa watakupa binti yao kimkakati, utajikuta umeanza kutumika kama chombo cha kufanikisha mambo yao kuitia cheo chako ama utajiri wako.
 
waarabu hata uwe mwislamu hadi wakupe binti yao labda uwe tajiri ama kiongozi mwenye cheo kikubwa watakupa binti yao kimkakati, utajikuta umeanza kutumika kama chombo cha kufanikisha mambo yao kuitia cheo chako ama utajiri wako.
Umenikumbusha mzee ruksa..hadi akauza loliondo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ntajikita zaid kwa wale waarabu na wahindi orijino tukiachana na hawa waliochanganywa changanywa...
yaani weaker societies zinapojikombeleza kuoa kwenye stronger societies ndio haya hutokea

hakuna chochote hapo,utakua viewed na perceived kama social climber uliejipendekeza kwenye jamii yao

wewe kwenu unakosa wa kuoa ndugu?

stronger societies never respect weak societies

umefanya conscious decision ya kuoa kwao,na hizi ndio results zake,deal with it....eti unashangaa...unashangaa nini na this ni logical results?

Weaker societies bwana...zina malalamiko sana....blah blah...

Sijui nilimpenda sana,sijui upendo,sijui love and other nonsense...thats true to you....

In the eyes of their society you are useless and paramia their society using backdoor of marriage...their view is truer than yours no matter how true you are!
 
yaani weaker societies zinapojikombeleza kuoa kwenye stronger societies ndio haya hutokea

hakuna chochote hapo,utakua viewed na perceived kama social climber uliejipendekeza kwenye jamii yao.....
Mkuu,

Huwa nakukubali sana huwa unatoa ukweli mchungu mno.

Shida huwa una maneno makali lakini leo umepunguza

Kudos.
 
Ntajikita zaid kwa wale waarabu na wahindi orijino tukiachana na hawa waliochanganywa changanywa.

hasa kwa waarabu, yaani hata uwe wa dini yao, uvae full set baraghashia + kanzu + kobazi na kujifunza hata lugha zao ili uendane nao huwa ni kazi sana upande wa familia ya kiarabu au wahindi kukuona ni mwanafamilia wao ulieoa binti yao ....

Mfano Msukuma anaweza kumuoa Mbena na hapo kunakuwa na ndugu mpya kati ya wanafamilia wa pande zote mbili katika kutembeleana, kujuliana hali, kusaidiana, n.k

lakini hili linakuwa kazi sana mtanzania mweusi (n wenye weupe wa kibongo) wakioa waarabu au wahindi
Sasa wewe furaha yako unaipata kwenye Sembe na kambare wa mbagala.
Wenzako wakila hivyo wanalazwa hospital.
Vipi mtakuwa sawa?
 
waarabu hata uwe mwislamu hadi wakupe binti yao labda uwe tajiri ama kiongozi mwenye cheo kikubwa watakupa binti yao kimkakati, utajikuta umeanza kutumika kama chombo cha kufanikisha mambo yao kuitia cheo chako ama utajiri wako.
Ndio maana wao hawako sawa na sisi
Kwenye upande wa mali wanaongoza kila kona ya dunia. Hata hapa nchini matajiri wakubwa ni wao.
Na hio inatokana na kuhifadhi familia zao .
Wangekuwa wanaolewa Ovyo unadhani wangefika hapo walipo?

We tafuta mgogo mwenzako zaa wagogo km wewe utulie hapo ulipo.
Unataka kuoa mwarabu utamlisha sukumawiki umuue mtoto wa watu?
 
Sio ubaguzi. Wakupe mtoto wao utaweza kumlea alete kizazi chenye manufaa ?
We ukipewa mtaji milion 200 break ya kwanza Bar!

Utaanza kunywa pombe ambayo hujawahi kunywa matokeo yake unarudi Home umejiharia.

Waarabu upuuzi huo hawataki.
waarabu / wahindi maskini wapo kubao tu, usidhani wote matajiri
 
lakini hili linakuwa kazi sana mtanzania mweusi (n wenye weupe wa kibongo) wakioa waarabu au wahindi
Unaonekana ni mtu wa daraja la 3 (3rd class person), India wanaitwa Siddi yaan ni weusi waliopelekwa enzi za utumwa hawakurudi mpaka leo wapo huko huko wanaishi na kuishia, na hawaguswi maana kuwagusa ni kujipa laana kwa hio ushaelewa kwanini hio hali inatokea? Wewe ukimuoa muhindi au mwarabu ndugu zake wanaona umewaingizia laana kwenye ukoo wao yaan umewaingizia mkosi
 
Nilishawai kusoma autobiography ya prof mmoja wa pale UDSM mwenye asili ya kihindi, nikaona wahindi wana ubaguzi sana hata wao kwa wao.

Anasema alikua na mjomba wake alikua anaumwa kifafa alikosa mke wa kihindi kila familia wanakataa, hadi ikabidi aoe mwanamke mweusi wa kimakonde [emoji23] [emoji23] [emoji23].

Inawezekana ikawa sio ubaguzi labda ni desturi kama alivosema mdau mmoja hapo juu
 
waarabu hata uwe mwislamu hadi wakupe binti yao labda uwe tajiri ama kiongozi mwenye cheo kikubwa watakupa binti yao kimkakati, utajikuta umeanza kutumika kama chombo cha kufanikisha mambo yao kuitia cheo chako ama utajiri wako.
Mnawazungumzia waarabu wa Yemen au wa hapa nchini, hujafika Nzega wewe yaani watu wanapewa mke haijalishi upoje kiuchumi (ila uwe unajiweza na sio lazima uwe tajiri)
 
Ndio maana wao hawako sawa na sisi
Kwenye upande wa mali wanaongoza kila kona ya dunia. Hata hapa nchini matajiri wakubwa ni wao.
Na hio inatokana na kuhifadhi familia zao .
Wangekuwa wanaolewa Ovyo unadhani wangefika hapo walipo?

We tafuta mgogo mwenzako zaa wagogo km wewe utulie hapo ulipo.
Unataka kuoa mwarabu utamlisha sukumawiki umuue mtoto wa watu?
Kuna sababu practical na za kueleweka kabisa za kueleza utajiri wa asians na sio izo za kutunza familia. Kasome historia upya
 
Miiko yao hairuhusu Wala sio dharau. Especially wahindi hairuhusiwi kabisa Ukioa ngozi nyeusi unatengwa.

Waarabu hawana shida sana wanaingiliana popote labda issue ya Imani tu ndio kama sio mlango ule sahau
Mbona wahindi weusi tii tena kama lami wapo
 
Back
Top Bottom