Kwanini ukiona mtu anapiga mwayo/yawning lazima na wewe utapiga?

Hahahha umemaliza cku vizuri mkuu ckuwah kujiuliza kuhusu mkojo....
Nmecheka kama tahira
 
Mkuu hii inaweza kuwa serious. Sikuwahi kufanya uchunguzi lakini nilpoona tu hiyo picha nikaupiga muhayo. Nikasoma mpaka mwisho,il naingia page ya pili nikaupiga tena mara nyingine baada ya kuiona hiyo picha.

Labda ni mindset iliyojijenga baada ya kuusoma uzi wako.
 
Maana yake ni kuwa miayo huambukizwa kutoka mtu moja kwenda kwa mwingine.
 
Ni kweli kabisa hata mm nimeshaliona hilo ila kitaalamu sijui explanation yake hata kucheka ingawa tumeizoea akija mtu anayemjua akacheka mbele yako wengi tunarespond kwa kucheka baadae ndio unamuuliza unacheka nn?
 
Hahahah kuna vitu miili yetu inaifanya bila ridhaa yetu huku ikiacha maswali mengi mno...
Aiseee naamini hilo kwa kweli na kila sign katka mwili unatoa kwa reason fulani Mungu anamaana yake
 
Jaribu kufanya theory mwangalie mtu akipa najua na ww utatamani tu na utapiga pia upende usipende
 
Ni kweli kabisa hata mm nimeshaliona hilo ila kitaalamu sijui explanation yake hata kucheka ingawa tumeizoea akija mtu anayemjua akacheka mbele yako wengi tunarespond kwa kucheka baadae ndio unamuuliza unacheka nn?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Afu nae anakujibu kwann we unacheka???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…