King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Ngoja waje wataalam.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kosa kubwa ni kuwa desperate (kuonyesha hitaji kubwa la kuwa na mwanamke) na hapa ndipo wanawake wengi wananusa desperation ya mwanaume.
Thanks mkuuVery true
Wewe muongo khaaa!! HahahYani ndo nimepatwa na hii kitu now.Nahangaika kupata mwenza sana but sipati.Natongoza nakataliwa hata nikisema nihonge kidogo but sifanikiwi.Ila nikipata tu,wataanza kujileta
MmmhhLaw of attraction hamkusoma form two?
[emoji23][emoji23][emoji23]Hii kitu kitaalam inaitwa mwenye nacho na aongezewe
owky...hii ime click kwa kiasi fulaniNi kwa sababu ukiwa single unakua na njaa kwa hiyo unatumia fosi Sana ili ule na hii kitu wanawakee wengi wanaona kero Sana na Mara nyingi hata ukimpata hamdumu mnaachana.
Ila ukiwa na mtu ndani unatingoza Kama huna shida kwa sababu unauhakika chakula kipo. Na hapa wanawake wengi wanapenda kutongozwa kihivi yaani unamtonhoza Kama hauna shida nae ...na wanawake wengi hawapendi kubanwa ...yaani unaanza kumbana bana wakati bado hajakujua vizuri hii wengi hawaipendi ....na wanaume wengi walio oa hawawabani wamewaachia huru kwa kuhofea wake zao ndani watajua.
Ukimpata mwanamke mwanzoni mwache awe huru .....hakikisha pale anapo ji submit kwako ndio uanze makeke yako ya kimchagulia marafiki na sehemu za kwenda ila Kama haja ji submit hufanyi lolote
mhhh ..hii imekuwa ngumu kumezaUwe na pesa, muonekano mzuri, Personality, Roho ya ukarimu na upole, Akili or busara etc hapa ndio mtu akisema hana mtu watu wanaona anatania maana mvuto wake ni costant na kuwa single ni uamuzi binafsi
Kuna wengine ndo wapo chini ya average kama mimi na wewe, bila nguvu hakuna anaekutazama kwa hiyo ukipata mtu. at least mtu anapata sababu au hamasa ya kuamini kuwa kuna kitu unacho cha kupendewa
au labda kutokana na mtu unaemmiliki au jinsi mnavyobebishana on public, kuna wale wanajenga kiu ya kujua "UNA NINI WASICHOKIONA KWA NJE"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole mzee baba,,,mimi nimeongeq hivi coz kabla sijaoa nili hustle sana...lakini saivi nimetulia na mke wangu ndo naona vidada vinajileta mpaka uvumilivu nahisi utanishindaYani ndo nimepatwa na hii kitu now.Nahangaika kupata mwenza sana but sipati.Natongoza nakataliwa hata nikisema nihonge kidogo but sifanikiwi.Ila nikipata tu,wataanza kujileta
[emoji848][emoji848][emoji848] inawezekanaWanapenda wanaume walioresponsible na kigezo cha kujua kama upo responsible ni jinsi unavyoweza kuhandle mahusiano yako uliyonayo
mhhh..aiseeeUkiwa na Demu Kuna kaharufu fulani ivi ka papuchi unakuwa nacho ndio mademu wanaanza kukupapatikia ,lakini ukiwa single unakuwa unanuka harufu ya ng'onda kila Demu atakukimbia hata vile vibungo vya kitaa..hahahahah
Sent from my Infinix X653C using JamiiForums mobile app
kwani hiyo inamantiki gani kwenye hili mkuuLaw of attraction hamkusoma form two?
ujinga siuachi...hii kitu inanitokea now baada ya kuoa,,na si kwamba pesa ndo zipo sana tofauti na nilivyokuwa single.Inategemea na single gani mkuu!,mfano Diamond awe single [emoji28]tafuta pesa acha ujinga
yeah..it makes sense.Kosa kubwa ni kuwa desperate (kuonyesha hitaji kubwa la kuwa na mwanamke) na hapa ndipo wanawake wengi wananusa desperation ya mwanaume.
namaanisha kumpata mwanamkeLakini kumpata mwanamke sio kazi ata uwe single ata kama hautakuwa na hela kazi ipo kwenye kumpata mke sijui wewe mtoa mada unamana ipi