Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwasaidia ndugu zako, hilo ni jukumu lako, ukiwasaidia wasio ndugu zako kwako unakuwa umetenda jambo la ziada, lakini hao wasio ndugu zako kama ni maombi kinywani mwao yatatoka pasi na unafiki, kama ni baraka zitatoka pasi na unafiki, lakini watamshukuru Mungu kwa ajili yako hivyo baraka zinakuja automatically.Habari .
Mimi ni muumini mkubwa wa kutoa , Ila katika utoaji wangu huwa nikimsaidia mtu ambaye hatuna undugu wowote , baraka huwa zinarudia kwa kiwango kikubwa Sana.
I need to understand kwa wataalamu wa mambo ya kiroho .
ndugu huona kuwasaidia ni haki yao, yaani wanastahili kusaidiwa hawana shukrani hata kidogo.Habari .
Mimi ni muumini mkubwa wa kutoa , Ila katika utoaji wangu huwa nikimsaidia mtu ambaye hatuna undugu wowote , baraka huwa zinarudia kwa kiwango kikubwa Sana.
I need to understand kwa wataalamu wa mambo ya kiroho .
Noted , I learn something new🙏🏽 barikiwa.Ukiwasaidia ndugu zako, hilo ni jukumu lako, ukiwasaidia wasio ndugu zako kwako unakuwa umetenda jambo la ziada, lakini hao wasio ndugu zako kama ni maombi kinywani mwao yatatoka pasi na unafiki, kama ni baraka zitatoka pasi na unafiki, lakini watamshukuru Mungu kwa ajili yako hivyo baraka zinakuja automatically.
Kuwasaidia ndugu kama nilivyosema inakuwa ni jukumu lako, lakini pia hao ndugu wataona unawajibika kwao, tena wanaweka kukusema kama umetoa wasivyotarajia, hapawezi kuwa na baraka hapo.
💯Kwasababu ndugu yako hata umsaidie kiwango gani bado ataona huo msaada ni haki yake...
Hakika, charity begin ata home!Pamoja na moyo wa kusaidia watu baki, usiwasahau ndugu zako.
Ukiwasha tochi unamulika kwanza miguuni kwako kisha unamulika mbele.
Umeandika kitu ambacho kipo sawa kabisa kwa pande zoteUkiwasaidia ndugu zako, hilo ni jukumu lako, ukiwasaidia wasio ndugu zako kwako unakuwa umetenda jambo la ziada, lakini hao wasio ndugu zako kama ni maombi kinywani mwao yatatoka pasi na unafiki, kama ni baraka zitatoka pasi na unafiki, lakini watamshukuru Mungu kwa ajili yako hivyo baraka zinakuja automatically.
Kuwasaidia ndugu kama nilivyosema inakuwa ni jukumu lako, lakini pia hao ndugu wataona unawajibika kwao, tena wanaweka kukusema kama umetoa wasivyotarajia, hapawezi kuwa na baraka hapo.
Maaanina zao.... Hii inanihusu mimi.Kwasababu ndugu yako hata umsaidie kiwango gani bado ataona huo msaada ni haki yake...
Hakika nimeona hiloWana shukrani na wanakuombea Kwa Mungu Kwa moyo mmoja
🤣🤣🤣🤣🙌Maaanina zao.... Hii inanihusu mimi.