Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Ukiwasaidia ndugu zako, hilo ni jukumu lako, ukiwasaidia wasio ndugu zako kwako unakuwa umetenda jambo la ziada, lakini hao wasio ndugu zako kama ni maombi kinywani mwao yatatoka pasi na unafiki, kama ni baraka zitatoka pasi na unafiki, lakini watamshukuru Mungu kwa ajili yako hivyo baraka zinakuja automatically.
Kuwasaidia ndugu kama nilivyosema inakuwa ni jukumu lako, lakini pia hao ndugu wataona unawajibika kwao, tena wanaweka kukusema kama umetoa wasivyotarajia, hapawezi kuwa na baraka hapo.
Kumbe kusaidia ndugu ni jukumu 😃