matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Unmaskini unarithishwa?
Unaweza kukomaa bila mafanikio kumbe kuna madesa ya jadi uliyoaminishwa kimyakimya (subliminally) yanakuvuta shati.
Mfano, moja ya ukoo nilioufuatilia
1: Ukiwa tajiri utalogwa hadi uwe kama wenzako
2: Waliofanikiwa kidogo wanastrago kuhakikisha kila mwana ukoo anawategemea wao tu.
3: Baba, Mama, Ukoo mzima unajuhudi kubwa katika kulaani na sio kubariki, kukuza mabaya badala ya mema.
Ukiona ukoo au familia ina hizi mentality piga chini kwa hekima lakini. Ikiwezekana kaa mbali hizo ni tabia za kimasikini. Hama hata mkoa ukaanzishe ukoo na familia mpya maana utaambukizwa.
Unaweza kukomaa bila mafanikio kumbe kuna madesa ya jadi uliyoaminishwa kimyakimya (subliminally) yanakuvuta shati.
Mfano, moja ya ukoo nilioufuatilia
1: Ukiwa tajiri utalogwa hadi uwe kama wenzako
2: Waliofanikiwa kidogo wanastrago kuhakikisha kila mwana ukoo anawategemea wao tu.
3: Baba, Mama, Ukoo mzima unajuhudi kubwa katika kulaani na sio kubariki, kukuza mabaya badala ya mema.
Ukiona ukoo au familia ina hizi mentality piga chini kwa hekima lakini. Ikiwezekana kaa mbali hizo ni tabia za kimasikini. Hama hata mkoa ukaanzishe ukoo na familia mpya maana utaambukizwa.