Sema wewe huna akiliMm huku nakuja tu kuona akili za watz wengi zilivyogurugika bhc ...kuna watu huku n watema moshi balaaa.....kwangu jf sio sehemu ya kuadress inshu serious za maisha maana 80% wapo kiutan zaidi
Mmoja wapo uliyevurugika n wew.....haya majibu yananifurahisha sana.....Sema wewe huna akili
Hili ndio jambo ambalo huwa linanikera sana humu jf.Mm huku nakuja tu kuona akili za watz wengi zilivyogurugika bhc ...kuna watu huku n watema moshi balaaa.....kwangu jf sio sehemu ya kuadress inshu serious za maisha maana 80% wapo kiutan zaidi
Usikereke mkuu ,wazoee tu...huku ukileta Uzi usiohusisha mambo ya ngono au mgegedo aisee utapata wachangiaji wachache sana...leta mada za kipuuz sasa,wanajaa balaaHili ndio jambo ambalo huwa linanikera sana humu jf.
Unakuta mada inawekwa,watu wanaleta mzaha balaa. Watu badala wachangie mada vile inavyotakiwa wanaleta uzwazwa.
Hujakosea kabisa madon tupo tunatafuta watoto wazuri kama wewe tuwaweke ndani[emoji13] [emoji13]Kutafuta mume mwenye pesa kwasababu nilisikia humu wote madon
Safi !Kutafuta mume mwenye pesa kwasababu nilisikia humu wote madon
Mimi sio don kabisa ! Utakuwa ulisikia vibaya kama kweli una maanisha !Kutafuta mume mwenye pesa kwasababu nilisikia humu wote madon
Kuna utafiti naufanya !Mie kupata habari na kujifunza mambo mbalimbali. Kiukweli jf kuna watu wapo deep sana na wengine ni vilaza sana.
Ila mleta MADA hujasema sababu gani wewe zimefanya ujiunge jf.
Ukimaliza utafiti utajitoa?Kuna utafiti naufanya !
Vp ulishampata huyo mwanaume mwenye mihela😀Kutafuta mume mwenye pesa kwasababu nilisikia humu wote madon
Wewe ungeanza basi walao kutuambia ni kwa nini ulijiunga humu!Mtu mwenye akili timamu hufanya mambo kwa nia yaani dhamira na lengo fulani.
Huu ni uzi ambao unaweza kubadilisha dhamira zetu za awali au sababu zilizotufanya tuingie jf. Kila mtu ana sababu zake kwazo zilimpelekea ajiunge na mtandao huu.
Swali,je ni sababi zipi zilikufanya ujiunge na jf,je ni mkumbo,kutafuta umaarufu,kuwachunguza watu,kujifunza,kufanya utafiti au ?
Haswaa,bila shaka kabisa !Ukimaliza utafiti utajitoa?
Nafanya utafiti bro !Wewe ungeanza basi walao kutuambia ni kwa nini ulijiunga humu!