Mtu mwenye akili timamu hufanya mambo kwa nia yaani dhamira na lengo fulani.
Huu ni uzi ambao unaweza kubadilisha dhamira zetu za awali au sababu zilizotufanya tuingie jf. Kila mtu ana sababu zake kwazo zilimpelekea ajiunge na mtandao huu.
Swali,je ni sababi zipi zilikufanya ujiunge na jf,je ni mkumbo,kutafuta umaarufu,kuwachunguza watu,kujifunza,kufanya utafiti au ?
Huu ni uzi ambao unaweza kubadilisha dhamira zetu za awali au sababu zilizotufanya tuingie jf. Kila mtu ana sababu zake kwazo zilimpelekea ajiunge na mtandao huu.
Swali,je ni sababi zipi zilikufanya ujiunge na jf,je ni mkumbo,kutafuta umaarufu,kuwachunguza watu,kujifunza,kufanya utafiti au ?