Mchimba Chumvi
JF-Expert Member
- May 19, 2016
- 2,244
- 5,500
😀😀😀 mawazo yako kuntu sana ninjaJf kama kuvaa ndala sikumbuki nilijuaje kuvaa ndala.
Hivi marekani karo ya chuo tsh ngapi? Na mshahara bongo tsh ngapi?Nakumbuka ilikuwa 2009 nikiwa kidato cha tano,tulikuwa kwenye gar na mke wa mjomba wangu ndo akapigiwa simu mme wake.Wakapiga story kwa muda baadae wakaanza kumzungumzia jamaa yetu aliyekuwa masomoni Marekani kwamba amerejea na bado hajapata kazi,hapo ndo huyo aunt wangu akasema labda huyo jamaa awe anapitia Jamii forum ili aweze kuona matangazo ya ajira. Hilo jina Jamii forum lilinikaa kichwani mpaka nilipoenda chuo nikawa na access ya internet ndo nikaanza kuitumia JF
senty from my Iphone 7 using jamii forum app
Kabsaaa!!! Dhaaa!! Yan zaman
Jf ni mtandao mzuri sana! Unaweza ukawa unasoma ukacheka mwenyewe mtu akakuona chizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha mkuu kwenye simu wewe ni kama Mimi dah nilikuwa natumia Nokia express music! Kipindi hiko majina ya JF yalikuwa yakunitesa haswa kuyakariri kumchwa.
Watu maarufu ni Rejao sijui yuko wapi siku hizi, Mingoi sijui ni mwamke? Alikuwa akikwaruzana na makamanda wakawa wanamwiita wewe mama mingoi nenda katumbuize twang a pepeta.
The Boss yupo mpaka Leo! Maalim @kanah bingwa wa kutukana Christian.
2013 .
@khaatan
Katavi
@nguruv3 makamanda ulingo wa siasa kutoka Arusha Arushaone Mungi Mungu akupe maisha mareeefu!! Wengine majina ya menitoka since 2012
Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
Dah Nimeanza Kusoma Nyuzi Tangu 2010 Ila Sasa Vinokia Nlivokua Natumia Kipindi Icho Hata Nlikua Sielew KuRegister Na Nlikua Siwez. Bas Nkipata Access Ya Internet Nasearch Jamiiforums. Nkawa Nakumbuka Na Kusahau Nakumbuka Nasahau. Mpaka 2011 Nlipoamua Kufuatilia Seriously. Ila Kusema Ukweli Mwanzoni Nilidhani Watu Walio JF Ni Wakenya Au Watanzania Waliopo Nje Ya Nchi,Au Wasomi Sanaaaaaa!!!
Nlikua Nawaogopa Sana Yani!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahah mkuu wewe kama mimi niliijua 2013 kama sikosei ila nilijiunga rasmi 2016 ila kwa sasa jf sio kama mwanzo navyonyapianyapia sijui nimeizoea au imepoteza mvutoDah Nimeanza Kusoma Nyuzi Tangu 2010 Ila Sasa Vinokia Nlivokua Natumia Kipindi Icho Hata Nlikua Sielew KuRegister Na Nlikua Siwez. Bas Nkipata Access Ya Internet Nasearch Jamiiforums. Nkawa Nakumbuka Na Kusahau Nakumbuka Nasahau. Mpaka 2011 Nlipoamua Kufuatilia Seriously. Ila Kusema Ukweli Mwanzoni Nilidhani Watu Walio JF Ni Wakenya Au Watanzania Waliopo Nje Ya Nchi,Au Wasomi Sanaaaaaa!!!
Nlikua Nawaogopa Sana Yani!!
Sent using Jamii Forums mobile app