Kwani wanaotafuta wachumba wana haiba gani?
Mchumba na msebule? , Kama hujapata njoo huku kitaan kwetu Kuna mchumba mkubwa balaa nahisi hili li mchumba litakufaaNilikuja kutafuta mchumba
Nakuja keshoMchumba na msebule? , Kama hujapata njoo huku kitaan kwetu Kuna mchumba mkubwa balaa nahisi hili li mchumba litakufaa
[emoji23][emoji23][emoji23] inaonesha wengine hizi keyboard zinatubeba sana, thanks anywayAisee unanibananisha kwenye Kona mno!!!
Sijui niiwekeje ila mimi naona upo smart kiasi cha kwamba sifikirii kama unaweza Fanya hivyo...
Kweli humu wachumba wanapatikana ila I can bet huwezi fanya hvyo..
BTW. ..Sipingi hilo jambo hata wanaofanya hvyo wana sababu zao pia ila wewe huoneshi kuingia kwenye sifa hzo
[emoji23][emoji23][emoji23] inaonesha wengine hizi keyboard zinatubeba sana, thanks anyway
Ur welcome[emoji120][emoji120]Keyboard zinakubeba!??[emoji1][emoji1]
Yes. It seems you think so highly of me wakati mie mlugaluga tu
Ooh ahsante [emoji23][emoji23][emoji120]Don't underestimate urself...U are not the so called "Mlugaluga"
Yes U proved to me u are worth it!!!.!!??Do I need to add another compliments! ??..
U can't judge urself...achia sisi kazi hyo[emoji120][emoji120]
Nami ilikuwa hivyo pianilikuwa natafuta utaalamu maswala fulani huko google. nikakuta mada yake inmejadiliwa huku. ndio ikawa mwanzo kuifahamu JF
Kivipi, sijakuelewa!Walimu hamuwatendei haki;