Kwanini ulijiunga JF?

Kwanini ulijiunga JF?

Hata sijui
IMG_20190729_191051.jpeg
 
Aisee unanibananisha kwenye Kona mno!!!

Sijui niiwekeje ila mimi naona upo smart kiasi cha kwamba sifikirii kama unaweza Fanya hivyo...

Kweli humu wachumba wanapatikana ila I can bet huwezi fanya hvyo..

BTW. ..Sipingi hilo jambo hata wanaofanya hvyo wana sababu zao pia ila wewe huoneshi kuingia kwenye sifa hzo

Kwani wanaotafuta wachumba wana haiba gani?
 
Aisee unanibananisha kwenye Kona mno!!!

Sijui niiwekeje ila mimi naona upo smart kiasi cha kwamba sifikirii kama unaweza Fanya hivyo...

Kweli humu wachumba wanapatikana ila I can bet huwezi fanya hvyo..

BTW. ..Sipingi hilo jambo hata wanaofanya hvyo wana sababu zao pia ila wewe huoneshi kuingia kwenye sifa hzo
[emoji23][emoji23][emoji23] inaonesha wengine hizi keyboard zinatubeba sana, thanks anyway
 
Don't underestimate urself...U are not the so called "Mlugaluga"

Yes U proved to me u are worth it!!!.!!??Do I need to add another compliments! ??..

U can't judge urself...achia sisi kazi hyo[emoji120][emoji120]

Yes. It seems you think so highly of me wakati mie mlugaluga tu
 
Don't underestimate urself...U are not the so called "Mlugaluga"

Yes U proved to me u are worth it!!!.!!??Do I need to add another compliments! ??..

U can't judge urself...achia sisi kazi hyo[emoji120][emoji120]
Ooh ahsante [emoji23][emoji23][emoji120]
 
Back
Top Bottom