saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 624
- 1,456
Mwanzoni mwa miaka 2012 hadi 2015 jina la Januari Makamba lilikuwa na mvuto mkubwa kwenye umma hasa mitandaoni na hata wengi tuliamini anafaa kwa nafasi ya Urais kama ambavyo aliingia kwenye mchakato na kufanikiwa kuingia Tano bora.
Nini kimesababisha umaarufu wa Januari Makamba kuporomoka kiasi hicho, nini kilimpandisha na nini kinamshusha sasa.
Nini kimesababisha umaarufu wa Januari Makamba kuporomoka kiasi hicho, nini kilimpandisha na nini kinamshusha sasa.