Kwanini umaarufu wa Januari Makamba unashuka siku hadi siku amekosea wapi?

Kwanini umaarufu wa Januari Makamba unashuka siku hadi siku amekosea wapi?

Mwanzoni mwa miaka 2012 hadi 2015 jina la Januari Makamba lilikuwa na mvuto mkubwa kwenye umma hasa mitandaoni na hata wengi tuliamini anafaa kwa nafasi ya Urais kama ambavyo aliingia kwenye mchakato na kufanikiwa kuingia Tano bora.

Nini kimesababisha umaarufu wa Januari Makamba kuporomoka kiasi hicho, nini kilimpandisha na nini kinamshusha sasa.
Karma.. Na uzuri wa mkakasi ni nje tuu ukishajua ndani ni kipande cha mtu unaudharau
 
Mwanzoni mwa miaka 2012 hadi 2015 jina la Januari Makamba lilikuwa na mvuto mkubwa kwenye umma hasa mitandaoni na hata wengi tuliamini anafaa kwa nafasi ya Urais kama ambavyo aliingia kwenye mchakato na kufanikiwa kuingia Tano bora.

Nini kimesababisha umaarufu wa Januari Makamba kuporomoka kiasi hicho, nini kilimpandisha na nini kinamshusha sasa.
Labda ww ndo uushushe!!
 
Mwanzoni mwa miaka 2012 hadi 2015 jina la Januari Makamba lilikuwa na mvuto mkubwa kwenye umma hasa mitandaoni na hata wengi tuliamini anafaa kwa nafasi ya Urais kama ambavyo aliingia kwenye mchakato na kufanikiwa kuingia Tano bora.

Nini kimesababisha umaarufu wa Januari Makamba kuporomoka kiasi hicho, nini kilimpandisha na nini kinamshusha sasa.
Amekosea pakubwa
Ujio wake kwenye wizara maisha ameyafanya kuwa MAGUMU SANA, karejesha mgao wa umeme tuliokua tumeusahau kwa takriban 6yrs,, kapandisha petrol na diesel na hana alternatives zinazoleta effect kwa watu na uchumi, kutumika kutetea ukandamizaj wa ugumu wa maisha.

Akwendree to asee
 
Anajitahidi awe FDR wa Tanzania! Lakini ameshashindwa japo anajitutumua kuhonga majiko ya gesi lakini ameshashindwa mtihani hadi Sasa!!

Coz kuna jasusi la Mbinguni lishamshinda linakubalika bila hongo likitatua shida za WATU KIROHO na kimwili pia limejaza mikutano Sana na Mbingu zimeshaamua ndie!!!
 
Mwanzoni mwa miaka 2012 hadi 2015 jina la Januari Makamba lilikuwa na mvuto mkubwa kwenye umma hasa mitandaoni na hata wengi tuliamini anafaa kwa nafasi ya Urais kama ambavyo aliingia kwenye mchakato na kufanikiwa kuingia Tano bora.

Nini kimesababisha umaarufu wa Januari Makamba kuporomoka kiasi hicho, nini kilimpandisha na nini kinamshusha sasa.
Bado yupo juu sana......Sijui umepima na nini.
Lete kipimo chako tufananishe..
 
Ww jamaa January amekukosea nn? Msamehe Tu



We jamaa na January mnagombania mwanamke au ni nn?

Topic zako nyingi ni January Tu duh, unataka afukuzwe au unatakaje, na je akifukuzwa ww unapata faida gani?

Ni wivu tu
Hapa watu hawajadili suala la yeye kufukuzwa, wanajadili mambo ya nchi yeye ni Kiongozi mwenye dhamana kubwa kwenye nchi ambaye tulimtumainia sana kulisaidia sana taifa kutokana na uzoefu wake ndani ya Chama na Serikali hasa baada ya kuwa Ikulu kama Msaidizi wa Rais Kikwete kwa miaka 5. Pili suala la yeye kufukuzwa halipo na alituthibitishia yeye mwenyewe kwa kauli yake kwamba labda twende tukamuue.
 
Hapa watu hawajadili suala la yeye kufukuzwa, wanajadili mambo ya nchi yeye ni Kiongozi mwenye dhamana kubwa kwenye nchi ambaye tulimtumainia sana kulisaidia sana taifa kutokana na uzoefu wake ndani ya Chama na Serikali hasa baada ya kuwa Ikulu kama Msaidizi wa Rais Kikwete kwa miaka 5. Pili suala la yeye kufukuzwa halipo na alituthibitishia yeye mwenyewe kwa kauli yake kwamba labda twende tukamuue.

Hayo anayofanya ametumwa na mamlaka ya uteuzi wake

Ndio maana anaendelea kufanya,

So kama unaona tatizo basi wa kushutumiwa ni alie juu yake
 
Kivuli cha magufuli kimemdhoofisha.

Wananchi kwa sasa wametambua ladha ya kiongozi anayewafaa.

Halafu pili hana nguvu yoyote ya kisiasa zaidi ya kutegemea hao mababa zake majizi akina Kikwete.
 
Kivuli cha magufuli kimemdhoofisha.

Wananchi kwa sasa wametambua ladha ya kiongozi anayewafaa.

Halafu pili hana nguvu yoyote ya kisiasa zaidi ya kutegemea hao mababa zake majizi akina Kikwete.
Kikwete mzee wa watu hata kama anamapungufu yake lakini huku tunamsingizia tu kumbuka yeye akiwa RAIS wa JMT hajawahi kumpa uwaziri aliishia kumpa unaibu tu tena kwa miaka 3 ya mwisho kati ya Miaka yake 10 ya utawala wake , inamaana alijua uwezo wake kwamba anatakiwa awe juu ya mtu wa kumsimamia. tusimsingizie mzee wa watu JK.
 
Kosa lake kubwa na hatari ni kupuuzia mradi wa bwawa la Umeme, ule mradi watanzania waliweka Imani kubwa Sana juu ya maendelea ya nchi.
Hivi ameupuzia kivipi? Mradi ulicheleweshwa kuanza kwa miezi 8 Bado mkandarasi hakuwa ma wataalam wa kutosha , hayo yamesemwa nakamati ya bunge ya miundombinu , je hapo kosa la makatani silioni.
 
Kwa hiyo ndicho kipimo ambacho umetumia hicho? Tanzania wengi hawamo kwenye mitandao ya kijamii. Mcheki Makamba kupitia field, mapokezi na metrics kutoka ground kabisa. Haya mambo ya mitandaoni mostly ni organized movements tu. Usichukuliwe sana na hayo mambo.
Makamba eti yuko na kigogo 2014 hopeless kabisa
 
Mwanzoni mwa miaka 2012 hadi 2015 jina la Januari Makamba lilikuwa na mvuto mkubwa kwenye umma hasa mitandaoni na hata wengi tuliamini anafaa kwa nafasi ya Urais kama ambavyo aliingia kwenye mchakato na kufanikiwa kuingia Tano bora.

Nini kimesababisha umaarufu wa Januari Makamba kuporomoka kiasi hicho, nini kilimpandisha na nini kinamshusha sasa.
January ni akili kubwa wasiompenda wanamchafua
 
Mwanzoni mwa miaka 2012 hadi 2015 jina la Januari Makamba lilikuwa na mvuto mkubwa kwenye umma hasa mitandaoni na hata wengi tuliamini anafaa kwa nafasi ya Urais kama ambavyo aliingia kwenye mchakato na kufanikiwa kuingia Tano bora.

Nini kimesababisha umaarufu wa Januari Makamba kuporomoka kiasi hicho, nini kilimpandisha na nini kinamshusha sasa.
He was overrated. Muda huu watu wanacha story za kusikia wanajionea wenyewe
 
Back
Top Bottom