Umetumia kipimo gani tafadhali, au mawazo yako tu?Mwanzoni mwa miaka 2012 hadi 2015 jina la Januari Makamba lilikuwa na mvuto mkubwa kwenye umma hasa mitandaoni na hata wengi tuliamini anafaa kwa nafasi ya Urais kama ambavyo aliingia kwenye mchakato na kufanikiwa kuingia Tano bora.
Nini kimesababisha umaarufu wa Januari Makamba kuporomoka kiasi hicho, nini kilimpandisha na nini kinamshusha sasa.
Getrude Mollel jaribu kufanya utafiti mdogo tu ingia kwenye maeneo yote ambayo habari yake inawekwa iwe Facebook, Instagram, Twitter au Youtube alafu soma maoni yanayoandikwa na watanzania alafu rudi hapa unaweza kuja na majibu ya utafitiUmetumia kipimo gani tafadhali, au mawazo yako tu?
Kipaji chake ni ugangaMwanzoni mwa miaka 2012 hadi 2015 jina la Januari Makamba lilikuwa na mvuto mkubwa kwenye umma hasa mitandaoni na hata wengi tuliamini anafaa kwa nafasi ya Urais kama ambavyo aliingia kwenye mchakato na kufanikiwa kuingia Tano bora.
Nini kimesababisha umaarufu wa Januari Makamba kuporomoka kiasi hicho, nini kilimpandisha na nini kinamshusha sasa.
Kwa hiyo ndicho kipimo ambacho umetumia hicho? Tanzania wengi hawamo kwenye mitandao ya kijamii. Mcheki Makamba kupitia field, mapokezi na metrics kutoka ground kabisa. Haya mambo ya mitandaoni mostly ni organized movements tu. Usichukuliwe sana na hayo mambo.Getrude Mollel jaribu kufanya utafiti mdogo tu ingia kwenye maeneo yote ambayo habari yake inawekwa iwe Facebook, Instagram, Twitter au Youtube alafu soma maoni yanayoandikwa na watanzania alafu rudi hapa unaweza kuja na majibu ya utafiti
Kwa hiyo ndicho kipimo ambacho umetumia hicho? Tanzania wengi hawamo kwenye mitandao ya kijamii. Mcheki Makamba kupitia field, mapokezi na metrics kutoka ground kabisa. Haya mambo ya mitandaoni mostly ni organized movements tu. Usichukuliwe sana na hayo mambo.
Unataka awe maarufu Ili iwaje?Mwanzoni mwa miaka 2012 hadi 2015 jina la Januari Makamba lilikuwa na mvuto mkubwa kwenye umma hasa mitandaoni na hata wengi tuliamini anafaa kwa nafasi ya Urais kama ambavyo aliingia kwenye mchakato na kufanikiwa kuingia Tano bora.
Nini kimesababisha umaarufu wa Januari Makamba kuporomoka kiasi hicho, nini kilimpandisha na nini kinamshusha sasa.
Kwenye field you can tell kama ni organized or not organized. Ila online, data haziwezi kuwa valid kabisa kulingana na mazingira ya kisiasa yaliyopo nchini.Kwahio uko kwenye field sio organized movements
Hauko sahihi hujafanya tafiti fuatilia mambo yanayolalamikiwa na wananchi kupitia mitandao yanavyoshughulikiwa na Serikali mfano Tozo za Simu na punguzo lilofanywa na Serikali ni kelele za mitandao ambao ndio hao hao wananchi, umesahau tozo zilipitishwa na Bunge na hakuna mbunge aliyepinga zaidi ya wananchi kupitia mitandao ndio wakapaza sauti hadi serikali ikashusha viwango.Kwa hiyo ndicho kipimo ambacho umetumia hicho? Tanzania wengi hawamo kwenye mitandao ya kijamii. Mcheki Makamba kupitia field, mapokezi na metrics kutoka ground kabisa. Haya mambo ya mitandaoni mostly ni organized movements tu. Usichukuliwe sana na hayo mambo.
Kwenye field you can tell kama ni organized or not organized. Ila online, data haziwezi kuwa valid kabisa kulingana na mazingira ya kisiasa yaliyopo nchini.
Kilichompandisha ni mtandao wa upigaji wakati ule akitumia ile bilioni moja aliyokopa kwa mgongo wa Bumbuli Saccos.Mwanzoni mwa miaka 2012 hadi 2015 jina la Januari Makamba lilikuwa na mvuto mkubwa kwenye umma hasa mitandaoni na hata wengi tuliamini anafaa kwa nafasi ya Urais kama ambavyo aliingia kwenye mchakato na kufanikiwa kuingia Tano bora.
Nini kimesababisha umaarufu wa Januari Makamba kuporomoka kiasi hicho, nini kilimpandisha na nini kinamshusha sasa.
Labda umaarufu wa kunyoa dongoVipi wako wewe unapanda au unashuka?
Mimi naoma umaarufu wake upo juu kuliko wako wewe.
Mwanzoni mwa miaka 2012 hadi 2015 jina la Januari Makamba lilikuwa na mvuto mkubwa kwenye umma hasa mitandaoni na hata wengi tuliamini anafaa kwa nafasi ya Urais kama ambavyo aliingia kwenye mchakato na kufanikiwa kuingia Tano bora.
Nini kimesababisha umaarufu wa Januari Makamba kuporomoka kiasi hicho, nini kilimpandisha na nini kinamshusha sasa.
Mwanzoni mwa miaka 2012 hadi 2015 jina la Januari Makamba lilikuwa na mvuto mkubwa kwenye umma hasa mitandaoni na hata wengi tuliamini anafaa kwa nafasi ya Urais kama ambavyo aliingia kwenye mchakato na kufanikiwa kuingia Tano bora.
Nini kimesababisha umaarufu wa Januari Makamba kuporomoka kiasi hicho, nini kilimpandisha na nini kinamshusha sasa.
Mwanzoni mwa miaka 2012 hadi 2015 jina la Januari Makamba lilikuwa na mvuto mkubwa kwenye umma hasa mitandaoni na hata wengi tuliamini anafaa kwa nafasi ya Urais kama ambavyo aliingia kwenye mchakato na kufanikiwa kuingia Tano bora.
Nini kimesababisha umaarufu wa Januari Makamba kuporomoka kiasi hicho, nini kilimpandisha na nini kinamshusha sasa.
Mwanzoni mwa miaka 2012 hadi 2015 jina la Januari Makamba lilikuwa na mvuto mkubwa kwenye umma hasa mitandaoni na hata wengi tuliamini anafaa kwa nafasi ya Urais kama ambavyo aliingia kwenye mchakato na kufanikiwa kuingia Tano bora.
Nini kimesababisha umaarufu wa Januari Makamba kuporomoka kiasi hicho, nini kilimpandisha na nini kinamshusha sasa.
Mmoja wapo ni mm.... Ila jamaa kumbe ni empty set na nafikiri amewekwa nishati kimkakati kikwete nimtu mbadii saana akitaka kukumaliza anajua akuweke wap?Mwanzoni mwa miaka 2012 hadi 2015 jina la Januari Makamba lilikuwa na mvuto mkubwa kwenye umma hasa mitandaoni na hata wengi tuliamini anafaa kwa nafasi ya Urais kama ambavyo aliingia kwenye mchakato na kufanikiwa kuingia Tano bora.
Nini kimesababisha umaarufu wa Januari Makamba kuporomoka kiasi hicho, nini kilimpandisha na nini kinamshusha sasa.