Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,836
- 6,303
Wakati ambapo unawaza namna gani ujikwamue kutoka kwenye umaskini; kuna mwingine anawaza namna gani azidi kukukandamiza kutokana na umaskini wako!
Hoja ya maskini mara nyingi huonekana kama ni malalamiko yasiyo na maana. Na hutafutiwa majibu ili kudhoofisha hoja hizo.
Maskini (iwe ni mtu binafsi au nchi) akisema jambo fulani suluhisho lake ni hili au lile, ni vigumu kuaminika. (Rejea kwa mfano matumizi ya miti shamba kutibu covid)
Maskini akisema maisha ni magumu, ataambiwa aache kulalamika, atafute hela!
Maskini na tajiri wakitoa hoja:
tajiri atapewa kipaumbele zaidi kuliko maskini.
Kwanini umaskini huchukuliwa kama kukosa maarifa (ujinga)?
Hoja ya maskini mara nyingi huonekana kama ni malalamiko yasiyo na maana. Na hutafutiwa majibu ili kudhoofisha hoja hizo.
Maskini (iwe ni mtu binafsi au nchi) akisema jambo fulani suluhisho lake ni hili au lile, ni vigumu kuaminika. (Rejea kwa mfano matumizi ya miti shamba kutibu covid)
Maskini akisema maisha ni magumu, ataambiwa aache kulalamika, atafute hela!
Maskini na tajiri wakitoa hoja:
tajiri atapewa kipaumbele zaidi kuliko maskini.
Kwanini umaskini huchukuliwa kama kukosa maarifa (ujinga)?