Kwanini umenifanyia hivi Ritha?

Rita wa Marlow kumbe hakufa kwenye bus kama ilivyosemekana daah analipiza kisasi kwa Mzee wa Bembeleza... Lakini WHY WHY WHY
 
Tatizo lenu hua hamuangaliagi Malaya na mke
 
Hauwezi kutumia material things kumuonesha mtu nia yako..unatakiwa u express nia yako kwa maneno sio kwa vitu mkuu hapo ndo ulipofeli
Nimeambulia kitu kwenye hii comment yako.shukrani sana
 
Wanaume wema , HUONGOZA KWA KUUMIZWA.
Kwa sababu, wanapenda Sanaa na wanaamini sanaaaaaa !!🀣


Mkinielewa maandiko YANGU humu JF, Kwa namna Moja yatawasaidia.


Kwa Sasa Wacha muumizwe.
 
Wanaume wema , HUONGOZA KWA KUUMIZWA.

Kwa sababu, wanapenda Sanaa na wanaamini sanaaaaaa !!🀣


Mkinielewa maandiko YANGU humu JF, Kwa namba Moja yatawasaidia.


Kwa Sasa Wacha muumizwe.
Jana nimepitia andiko lako na nikakupm Ila umefunga inbox yako.
Ki ukweli nilichelewa Sana kuona lile bandiko.
 
We ulisikia msukuma na mapenzi wapi na wpi ... yani kabisa uende katoro demu akusubiri πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
We ulisikia msukuma na mapenzi wapi na wpi ... yani kabisa uende katoro demu akusubiri πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
🀣🀣🀣🀣 Eeeh kaka sio wote,na yeye nilidhania kwa Nia atakuwa wanngu wa kufa na kuzikana kkumbe mwizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…