Kwanini Umoja wa Mataifa hauendeshwi kidemokrasia?

Kwanini Umoja wa Mataifa hauendeshwi kidemokrasia?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Nchi kubwa kubwa kama Marekani, Uingereza na Ufaransa hupigia sana kelele na kuhubiri uzuri wa demokrasia, na hasa wakishinikiza nchi changa zifuate demokrasia.

Lakini watu hao hao hawataki taasisi kubwa zaidi duniani, Umoja wa mataifa iendeshwe kidemokrasia. Nchi hizo pamoja na Russia na China zina kura ya veto ndani ya Umoja wa Mataifa. Zinaweza kubatilisha uamuzi hata ambao umekubaliwa na wanachama wote wa UN duniani.

Kusema demokrasia ni nzuri ni ulaghai wa karne? Labda mi ndiyo sielewi, kwa nini Umoja wa Mataifa hauendeshwi kidemokrasia?
 
Umeona eeeh.

Mtu anaona demokrasia tamu kisa yeye anayo Veto.

Hivi hamna uwezekano wa kuwa na katiba ya UN ili uamuzi usivuke tu mipaka.

Halafu tukaondoa veto
 
Nchi kubwa kubwa kama Marekani, Uingereza na Ufaransa hupigia sana kelele na kuhubiri uzuri wa demokrasia, na hasa wakishinikiza nchi changa zifuate demokrasia.

Lakini watu hao hao hawataki taasisi kubwa zaidi duniani, Umoja wa mataifa iendeshwe kidemokrasia. Nchi hizo pamoja na Russia na China zina kura ya veto ndani ya Umoja wa Mataifa. Zinaweza kubatilisha uamuzi hata ambao umekubaliwa na wanachama wote wa UN duniani.

Kusema demokrasia ni nzuri ni ulaghai wa karne? Labda mi ndiyo sielewi, kwa nini Umoja wa Mataifa hauendeshwi kidemokrasia?
Sio lazima taifa liwe katika umoja wa mataifa, ukiona haukidhi mahitaji yako unaweza kujitoa. Hulazimishwi.
 
Nchi kubwa kubwa kama Marekani, Uingereza na Ufaransa hupigia sana kelele na kuhubiri uzuri wa demokrasia, na hasa wakishinikiza nchi changa zifuate demokrasia.

Lakini watu hao hao hawataki taasisi kubwa zaidi duniani, Umoja wa mataifa iendeshwe kidemokrasia. Nchi hizo pamoja na Russia na China zina kura ya veto ndani ya Umoja wa Mataifa. Zinaweza kubatilisha uamuzi hata ambao umekubaliwa na wanachama wote wa UN duniani.

Kusema demokrasia ni nzuri ni ulaghai wa karne? Labda mi ndiyo sielewi, kwa nini Umoja wa Mataifa hauendeshwi kidemokrasia?
Umoja wa Mataifa ni alliance yenye kila aina washiriki kuanzia madikteta na watawala wa maisha wa Afrika na Uarabuni (japo wamepungua siku hizi), wafalme wenye kila aina ya tabia na vituko kuanzia akina Mswati III, Hassanal Bolkiah ibni Omar Ali Saifuddien III, etc.

Mdikteta wa kudumu wengine wakibadilishana tawala za nchi zao kina Vladimir Putin, Xi Jinping, Hugo Chavez, enzi za akina Fidel Catrol, familia ya Kim, etc. Tawala za kidemokrasia za Ulaya na Marekani ya Kaskazini, etc.

Katika mazingira ya aina hiyo UN inaweza vipi kuendeshwa kidemokrasia? Mbona EU yenye nchi 27 inaendesha mambo yake kidemokrasia? Hope umeelewa kama kweli ulikuwa huelewi!
 
Umoja wa Mataifa ni alliance yenye kila aina washiriki kuanzia madikteta na watawala wa maisha wa Afrika na Uarabuni (japo wamepungua siku hizi), wafalme wenye kila aina ya tabia na vituko kuanzia akina Mswati III, Hassanal Bolkiah ibni Omar Ali Saifuddien III, etc.

Mdikteta wa kudumu wengine wakibadilishana tawala za nchi zao kina Vladimir Putin, Xi Jinping, Hugo Chavez, enzi za akina Fidel Catrol, familia ya Kim, etc. Tawala za kidemokrasia za Ulaya na Marekani ya Kaskazini, etc.

Katika mazingira ya aina hiyo UN inaweza vipi kuendeshwa kidemokrasia? Mbona EU yenye nchi 27 inaendesha mambo yake kidemokrasia? Hope umeelewa kama kweli ulikuwa huelewi!
Magharibi wakisema wakuoe sioni ukichomoa maana unawapenda mabwana zako
 
Nchi kubwa kubwa kama Marekani, Uingereza na Ufaransa hupigia sana kelele na kuhubiri uzuri wa demokrasia, na hasa wakishinikiza nchi changa zifuate demokrasia.

Lakini watu hao hao hawataki taasisi kubwa zaidi duniani, Umoja wa mataifa iendeshwe kidemokrasia. Nchi hizo pamoja na Russia na China zina kura ya veto ndani ya Umoja wa Mataifa. Zinaweza kubatilisha uamuzi hata ambao umekubaliwa na wanachama wote wa UN duniani.

Kusema demokrasia ni nzuri ni ulaghai wa karne? Labda mi ndiyo sielewi, kwa nini Umoja wa Mataifa hauendeshwi kidemokrasia?
Marekani inatoa Hela ya kuendesha Umoja wa Mataifa pamoja na juimuiya zake kwa zaidi ya asilimia hamsini. Mbona hapo hulalamiki kuwa wanachangia pakubwa? Halafu ujue ya kwamba, Dunia inatawaliwa na equity and not equality!
 
Marekani inatoa Hela ya kuendesha Umoja wa Mataifa pamoja na juimuiya zake kwa zaidi ya asilimia hamsini. Mbona hapo hulalamiki kuwa wanachangia pakubwa? Halafu ujue ya kwamba, Dunia inatawaliwa na equity and not equality!
Yeye ndio mnufaika mkubwa wa iyo UN ndio mahana watu wamemuachia yeye lakini siyo kama nchi nyingine zinashindwa kuchangia zaidi yake
 
Marekani inatoa Hela ya kuendesha Umoja wa Mataifa pamoja na juimuiya zake kwa zaidi ya asilimia hamsini. Mbona hapo hulalamiki kuwa wanachangia pakubwa? Halafu ujue ya kwamba, Dunia inatawaliwa na equity and not equality!
Sidhani kama unaelewa equity na equality ni vitu gani?
 
Umoja wa Mataifa ni alliance yenye kila aina washiriki kuanzia madikteta na watawala wa maisha wa Afrika na Uarabuni (japo wamepungua siku hizi), wafalme wenye kila aina ya tabia na vituko kuanzia akina Mswati III, Hassanal Bolkiah ibni Omar Ali Saifuddien III, etc.

Mdikteta wa kudumu wengine wakibadilishana tawala za nchi zao kina Vladimir Putin, Xi Jinping, Hugo Chavez, enzi za akina Fidel Catrol, familia ya Kim, etc. Tawala za kidemokrasia za Ulaya na Marekani ya Kaskazini, etc.

Katika mazingira ya aina hiyo UN inaweza vipi kuendeshwa kidemokrasia? Mbona EU yenye nchi 27 inaendesha mambo yake kidemokrasia? Hope umeelewa kama kweli ulikuwa huelewi!
Nchi kuendeshwa na madikteta kunazuia vipi UN kuendeshwa kidemokrasia? Na hasa inaonekana nchi nyingi zenye veto ni za kidemokrasia. Kwa hiyo kikwazo cha kuwa na demokrasia UN ni nchi za kidemokrasia na si hizo unazoita za kidikteta.
 
Nchi kuendeshwa na madikteta kunazuia vipi UN kuendeshwa kidemokrasia? Na hasa inaonekana nchi nyingi zenye veto ni za kidemokrasia. Kwa hiyo kikwazo cha kuwa na demokrasia UN ni nchi za kidemokrasia na si hizo unazoita za kidikteta.
Veto power ni sehemu ya demokrasia
 
Back
Top Bottom