streat Anthem
JF-Expert Member
- Nov 28, 2016
- 395
- 475
Porojo ndio nini?ushahidi gani unaoutaka, tukupeleke mbinguni tukuoneshe Mungu huyu hapa ndo uamini. Mbona unakua hutumii akili zako vizuri! Ni bora uamini yupo hata usipomkuta hautapata shida, kuliko kuamini hayupo halafu umkute ndo utajua kilio cha kusaga meno kikojeToa ushahidi kwamba Bible ni kitabu cha Mungu........acha porojo mkuu.
kwa mujibu wa imani yako nani chanzo wa kila kitu..?Kosa ni kumuwazia kwa upumbavu- Bible
Kwahiyo kila jambo linalokosa majibu ina maanisha Mungu ndiye aliyetenda?na wewe unauhakika gani kuwa havikuumbwa na Mungu, ipo siku nayo ni moja tutatoa hesabu, endelea kupotosha
Hata kama Mungu yupo, atawapenda zaidi wale wasiomwamini kwa moyo wa dhati kuliko wanaomwamini kwa mashaka mashaka.Porojo ndio nini?ushahidi gani unaoutaka, tukupeleke mbinguni tukuoneshe Mungu huyu hapa ndo uamini. Mbona unakua hutumii akili zako vizuri! Ni bora uamini yupo hata usipomkuta hautapata shida, kuliko kuamini hayupo halafu umkute ndo utajua kilio cha kusaga meno kikoje
"ni bora uamini yupo hata usipomkuta hautapata shida"Porojo ndio nini?ushahidi gani unaoutaka, tukupeleke mbinguni tukuoneshe Mungu huyu hapa ndo uamini. Mbona unakua hutumii akili zako vizuri! Ni bora uamini yupo hata usipomkuta hautapata shida, kuliko kuamini hayupo halafu umkute ndo utajua kilio cha kusaga meno kikoje
Sikushangai maana wewe unasema Mungu hayupo, kwani we ukisema ukweli utabadilika?,au ukweli utakuwa uwongo? Neno lako wewe haliwezi kubadili chochote mkuu, na wala imani yako kwa Mungu hata sio kikwazo kwa wanaomwamini Mungu, zaidi nakushangaa kwa jinsi ulivyopotoka na bado unadhihirisha upotofu na upofu wako!!Hata kama Mungu yupo, atawapenda zaidi wale wasiomwamini kwa moyo wa dhati kuliko wanaomwamini kwa mashaka mashaka.
Ndiyo maana nasema Mungu hayupo.
we unafikiri lilishuka tu au lazima kuwe na external forces zinazosababisha kuwepo kwa hicho kituKwahiyo kila jambo linalokosa majibu ina maanisha Mungu ndiye aliyetenda?
Km kitu ukijui haimaanishi akipo...Ukiangalia jinsi mambo yalivyo kwa undani,kuhusu miti,wadudu,wanyama,ndege,binadamu,bahari,anga,upepo,madini nk...utagundua kua Mungu hayupo kabisa
Kama Mungu yupo inabidi aseme yeye chanzo chake ni nini?
Mana mpaka leo...watu wa dini hawajui Mungu/Allah alitoka wapi,lakini pia wanasayansi nao hawajui chanzo cha sayari na nyota na viumbe vingine.
Kwa ufupi mpaka sasa hakuna taarifa sahihi kuhusu Mungu na Dunia
Naomba nikuulize, kama unaamini hayupo, je ukimkuta yupo utachukua uamuzi gani au utajisikiaje?"ni bora uamini yupo hata usipomkuta hautapata shida"
Hichi ndicho mnachofundishwa..?
kwa huo usemi tu huoni kama unatatanisha uwepo wa huyo mungu! okay haya kama mnaamini yupo na umesema kama ukiamini yupo hautapata shida na hao watakaotenda dhambi na wanaamini je hawatapata shida ya kutupwa motoni..?
ukijibu swali langu nitakujibuNaomba nikuulize, kama unaamini hayupo, je ukimkuta yupo utachukua uamuzi gani au utajisikiaje?
Swali lako mbona ushajibiwaukijibu swali langu nitakujibu
Ungeanza wewe kujibu Mungu ametokeaje?Mungu ameandika mimi nipo ambae nipo.
Biblia inasema Mungu ni roho.
Wewe unaangalia ndege , wanyama, wadudu unasema Mungu hayupo?
Labda nikuulize ulimwengu huu umetokeaje?
mambo gan mkuuSababu kuna mambo yametokea kwenye maisha yangu... kwa uwezo wa kawaida isingewezekana , ilitokea tu ajab yakawezekana.
kweli sayansi unaweza isijue uwepo wa sayari, nyota nk..Ukiangalia jinsi mambo yalivyo kwa undani,kuhusu miti,wadudu,wanyama,ndege,binadamu,bahari,anga,upepo,madini nk...utagundua kua Mungu hayupo kabisa
Kama Mungu yupo inabidi aseme yeye chanzo chake ni nini?
Mana mpaka leo...watu wa dini hawajui Mungu/Allah alitoka wapi,lakini pia wanasayansi nao hawajui chanzo cha sayari na nyota na viumbe vingine.
Kwa ufupi mpaka sasa hakuna taarifa sahihi kuhusu Mungu na Dunia
sijaona upepo, ila naona effect za upepo.Kwanini unaamin uwepo wa upepo umeshawahi kuuona??
Kwanini unaamini uwepo wa kujaa na kupwaa kwa maji ya bahari
Kwnn unaamin kua ipo siku utafufuka na ulipwe kwa ulilolitenda duniani?? Nani atakuhukumu kama sio mungu??
Hizo ndizo sababu za kuthibitisha mungu yupo?Mungu sio dhana ya kufikirika. Mungu yupo na anajidhihirisha kwetu kwa utukufu wake mkuu. Tazama dunia na vyote vilivyomo, jitazame na wewe unavyoishi ukipumua pumzi,ukinyeeshewa na mvua, ukipata mazao yanayokua na kukupatia chakula. Kisha piga magoti chini na umuabudu Mungu na kuutukuza utukufu wake. Acha kukaza shingo iyo, itavunjika!
Walevi wa Bible na Quran haya maswali hawana hata mda wa kuyafikilia..!Unajua wengi tumekua na kukuta utaratibu ambao umewekwa na walitutangulia.
Wengi tumedumisha imani ambazo tumezikuta mwenye jamii yetu.
Hivi ulishawahi jiuliza kwanini www ni dini hiyo unayoiamini?
Je unahisi km ungezaliwa dini nyingine ungebadili?
Je mpaka sasa unaamini dini yako ndio sahihi? Kwanini?
Je Kitu gani hasa kinakufanya uamini Mungu yupo?
Cc Kiranga, Al-Watan, Apollo, ONTARIO @jimeena
Watu wa Allah na Jehova/Elii wao huwa wanadai Mungu yupo kwa asilimia 100.Ukiangalia jinsi mambo yalivyo kwa undani,kuhusu miti,wadudu,wanyama,ndege,binadamu,bahari,anga,upepo,madini nk...utagundua kua Mungu hayupo kabisa
Kama Mungu yupo inabidi aseme yeye chanzo chake ni nini?
Mana mpaka leo...watu wa dini hawajui Mungu/Allah alitoka wapi,lakini pia wanasayansi nao hawajui chanzo cha sayari na nyota na viumbe vingine.
Kwa ufupi mpaka sasa hakuna taarifa sahihi kuhusu Mungu na Dunia