Binadamu anaweza kumfuga simba, lakini simba haweziThat is the result of his disobedience mwanzonzi kwa kula the fruit of knowledge of good and evil. He, therefore, lost his place. Haujiulizi kwa nini a human is a wanting being (Maslow hierarchy of needs)? Hata awe na nini he does not get satisfied. Intrinsically, but unknowingly, we are questing for the position that we lost in Eden, that can only be found in Christ for he came to restore humanity to God.
Ukisema walio wengi wanakiri Mungu yupo,unakosea..watu wengi wanaenda makanisani na misikitini na masinagogi tu ila hawajui wanafanya nini...Ilishaandikwa "Wapumbavu hawamjui Mungu.Hivi matrilion ya binadamu wanakiri Mungu yupo wanashinda miskitini na makanisani wakimwabudu wakiwemo madaktari na wanasayansi wewe unadai Mungu hayupo ,ina maana ww una akili kuliko hawa wanaomtukuza.Walio wa kwake awajua hawana umuhimu wa kubishania hii mada.
kwanini uamini yupo?Kwa sababu imani ni hakika au bayana ya usichokiona
Sababu kuna mambo yametokea kwenye maisha yangu... kwa uwezo wa kawaida isingewezekana , ilitokea tu ajab yakawezekana.
rhibitisha kama hayupoMungu hayupo
Sent from my MI 5s Plus using JamiiForums mobile app
Kwa sababu imani ni hakika...na tena ni bayanakwanini uamini yupo?
you can't proove negative.rhibitisha kama hayupo
Sent from myself
Kamusi si imeandika km ilivyo andikwa biblia?Kwa sababu imani ni hakika...na tena ni bayana
Tafuta kamusi kujua maana ya maneno hakika au bayana...
Now i know...Kamusi si imeandika km ilivyo andikwa biblia?
Kwahiyo unaamini mungu yupo kwa tafsiri ya kamusi?
Angekuwepo kusingekuwa na swali kama yupo.rhibitisha kama hayupo
Sent from myself
Uko sahihi kabisa mkuu General Mangi hizi dini wengi wetu tulikuwa nazo kwasababu tumezaliwa familia zenye kufuata mifumo hiyo ya imani.Unajua wengi tumekua na kukuta utaratibu ambao umewekwa na walitutangulia.
Wengi tumedumisha imani ambazo tumezikuta mwenye jamii yetu.
Hivi ulishawahi jiuliza kwanini www ni dini hiyo unayoiamini?
Je unahisi km ungezaliwa dini nyingine ungebadili?
Je mpaka sasa unaamini dini yako ndio sahihi? Kwanini?
Je Kitu gani hasa kinakufanya uamini Mungu yupo?
Cc Kiranga, Al-Watan, Apollo, ONTARIO @jimeena
Hakika kwa mujibu wa nani mkuu??Kwa sababu imani ni hakika...na tena ni bayana
Tafuta kamusi kujua maana ya maneno hakika au bayana...
Kwani matrilion wakiamini uwepo wake ndio inafanya awepo?? Usipende kuwa unafata mkumbo katika maishaIlishaandikwa "Wapumbavu hawamjui Mungu.Hivi matrilion ya binadamu wanakiri Mungu yupo wanashinda miskitini na makanisani wakimwabudu wakiwemo madaktari na wanasayansi wewe unadai Mungu hayupo ,ina maana ww una akili kuliko hawa wanaomtukuza.Walio wa kwake awajua hawana umuhimu wa kubishania hii mada.
Safi mkuu, humanity ni kitu muhimu ili maisha ya wengine yaende vzr.Uko sahihi kabisa mkuu General Mangi hizi dini wengi wetu tulikuwa nazo kwasababu tumezaliwa familia zenye kufuata mifumo hiyo ya imani.
Nimeshawahi kujiuliza maswali yote hayo na nikaona haina haja kuendelea kufata dini hizi za kurithi
Ndio sababu mimi ni Antagonist kuhusu Mungu. Na dini yangu ni upendo