brightoscar
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 369
- 543
Mungu yupo kwasababu hata shetani yupo angalia maovu na unyama unaofanyika kutokana na nguvu za giza then nguvu ya nuru ipo action and reaction are opposite but equal to each other
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali la kwanza na la pili ni relevant... la tatu na la nne yamebase kwenye kuamini hoja ambayo ndip ipo kwenye post hii.Kwanini unaamin uwepo wa upepo umeshawahi kuuona??
Kwanini unaamini uwepo wa kujaa na kupwaa kwa maji ya bahari
Kwnn unaamin kua ipo siku utafufuka na ulipwe kwa ulilolitenda duniani?? Nani atakuhukumu kama sio mungu??
Mwanadamu amtumikie na viumbe vingine ili iweje???Kwanza hakuna afanyae Mungu kuwepo, Mungu alikuepo, yupo na ataendelea kuwepo. Mungu ndio kanifanya mimi niwepo kupitia kuumbwa kwa Adam na Eva vikapita vizazi na vizazi mpaka mi nikazaliwa, Mungu alimuumba mwanadamu ili amtumkie na amuabudu na kuvitunza vitu vyote vya duniani ili kuutukuza utukufu wa Mungu. Katika kumuuabudu na kumtumikia Mungu tunapata faida nyingi sana hata hazihesabiki , kuhusu Mungu kupata faida kwa kweli swali liko juu ya uwezo wangu, labda umuulize mwenyewe kupitia sala atakujibu
Kwahiyo Mungu ni kipi hapo? Ni mim? Ni hivyo vitu vinavyoota?? Mifano yako ni indirect kwanin usimthibitishe yeye kama yeye... hivi si mnadai huwa mnaongea nae kwenye sala.. ni kwanin amumuulizi haya maswali ili mje mtupe majibu sahihi na yasiyotofautiana.Mungu sio dhana ya kufikirika. Mungu yupo na anajidhihirisha kwetu kwa utukufu wake mkuu. Tazama dunia na vyote vilivyomo, jitazame na wewe unavyoishi ukipumua pumzi,ukinyeeshewa na mvua, ukipata mazao yanayokua na kukupatia chakula. Kisha piga magoti chini na umuabudu Mungu na kuutukuza utukufu wake. Acha kukaza shingo iyo, itavunjika!
Ushasema hakuna mwenye uwezo huo alafu unasema ni Mungu pekee...Uhakika ninao wa uhakika kupitia kitabu kitakatifu cha Biblia mambo hayo yameandikwa. Halafu tujiulize ni nani au kiumbe gani mwenye uwezo wa kufanya mambo hayo makubwa? Yupi anaweza kuumba sayari, binaadamu na nyota za angani? Yupi mwenye uwezo wa kutoa uhai kwa viumbe vyote? Jibu ni wazi kuwa hakuna mwenye huo uwezo mkuu ila Mungu wa Majeshi. Amini ili ujifunze na kuuona utukufu wa Mungu uliokuzunguka, nje na nda yako
Kuna kosa ukisema haujui.... mpaka tufanye assumptions? kwani kuna tofauti gani na yale tusiyoyajua ambayo we dont real care.....Mungu ameandika mimi nipo ambae nipo.
Biblia inasema Mungu ni roho.
Wewe unaangalia ndege , wanyama, wadudu unasema Mungu hayupo?
Labda nikuulize ulimwengu huu umetokeaje?
Kama kipo alafu haujui kipo, utawezaje kukizungumzia. Unakitengenezeaje kitabu??....Km kitu ukijui haimaanishi akipo...
Nitapata hasira sana... kwani hakujidhihirisha na hivyo sikujua anataka nini???Naomba nikuulize, kama unaamini hayupo, je ukimkuta yupo utachukua uamuzi gani au utajisikiaje?
Unafikir nani anaweza kukujibu kama wewe haukujibu yalioulizwa??Wewe kwanini uamini kuwa Mungu hayupo?
Kwako dini ni nini?
Kuna uhusiano gani kati ya dini na Mungu unaye amini kuwa hayupo?
Imani tulizodumisha ni zipi? Imani ni nini?
Tuanzie hapo.
Na ukiendelea kufikir sana unakata linkage hiyo....Mwili wa binadamu na ufanyaji kazi wake.kama utakuwa na akili na kuwaza bhas utaamini mungu yupo.anza kukifikiria kiungo kimoja kimoja.
Ni mzunguko.Kwaiyo anaye badilisha usiku na mchana ni nani?
Kwa vile na wao wamekubali kwamba ni bora uamini lakini usimkute.Ilishaandikwa "Wapumbavu hawamjui Mungu.Hivi matrilion ya binadamu wanakiri Mungu yupo wanashinda miskitini na makanisani wakimwabudu wakiwemo madaktari na wanasayansi wewe unadai Mungu hayupo ,ina maana ww una akili kuliko hawa wanaomtukuza.Walio wa kwake awajua hawana umuhimu wa kubishania hii mada.
Je wajua kwamba kuna idadi kubwa ya watu wanaamini ukiwa ni mwenye zambi basi kaburini utakutana na nyoka, nge na adhabu yako inaanzia hapo.Ilishaandikwa "Wapumbavu hawamjui Mungu.Hivi matrilion ya binadamu wanakiri Mungu yupo wanashinda miskitini na makanisani wakimwabudu wakiwemo madaktari na wanasayansi wewe unadai Mungu hayupo ,ina maana ww una akili kuliko hawa wanaomtukuza.Walio wa kwake awajua hawana umuhimu wa kubishania hii mada.
Nilishawaza jambo kama hili before.....
ndio nn sasaUmeshawahi kushindana gumbo lako na kujizuwia usinye au usikojoe?
Jikite kwenye maswali ya kwenye madaMleta huu uzi shukuru tu TCRA,vingenevyo ungetafuta pakutokea jibu ambalo ningekupa,,
Vipi wewe uulizwea swala
WEWE NA BABA YAKO
NI NANI MKUBWA?
Hapo utajibuje
Thibitisha kama yupoSiyo kwamba hakuna ushahidi wa uwepo wa Mungu bali hawataki tu kukubali hadharani kuwa Mungu yupo.....
Hawa wana ajenda yao.....
Jibu maswali niliyo uliza kwenye madaJibu swali nililouliza.
acha stori, jibu maswali hapi juuHa..ha..ha
Wana mchukulia poa kweli.
Mimi siwezi kusema kuwa nilibahatika.
Ila nilimsikia mubashara kabisa Shetani Lusifer akizungumza.
Kwanza, alisema, anajutia kitendo cha kufukuzwa mbinguni.
Alisema kitu kilichomfukuzisha ni kulewa sifa, ya kuanza kujilinganisha na Mungu.
Pili, alisema, aliamua kujenga himaya yake kwa kuwateka, watu aliowaita÷
"Stupid Earth Worms"
Nakuhakikishia ndugu,
Lusifer anawadharau sana na kuwacheka watu wanaomwabudu na kumtukuza,
pia huwa anawatesa sana kwa vitendo, na kuwapa masharti magumu mno.
Ndio maana unawaona waganga wanaopiga ramri wanaishi maisha ya umasikini uliotopea.
Ukienda kufuata tiba kwao wanakuambia umwue mwanao, au tafuta viungo vya binadamu, au maiti.
(Si umejitakia mwenyewe, unaacha kumwomba Mungu unakuja kwetu tunaoteseka, wacha tuteseke wote) ukiondoka nyuma anakucheka na kukuona ZOBA.
Kwenye dawa anaweza kukulisha hata mavi yaliokauka na kusagwa, kuna uchafu mzito kwenye dawa zao.
Ukiona Mtu anasisitiza toka moyoni kuwa "hakuna Mungu" ujue kuna mambo mawili tu moyoni mwake.
1. Hajui neno "Mungu" maana yake ninini.
Hajawahi kukutana na elimu inayomwelimisha habari za Mungu.
Hana elimu ya Kiroho kabisa.
Huyu ukimwelimisha anaelewa.
2. Mfuasi wa Shetani, Lucifer, huyo haelimishiki kabisa. ni mbishi kama hao unaowaona.
Hao wanaujua vizuri ukuu wa Mungu.
Ndivyo ilivyo.